Kitendo cha Shilawadu ni cha kulaaniwa

naungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana

1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?

2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!

3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
Sikubaliani na wewe hapo kwenye namba moja...
KIPINDI KINAANZA SAA NGAPI HADI SAA NGAPI? Unajuwa vipindi vinavyoruhusiwa kurushwa usikuwa wa saa tatu na kuendelea content zake zinakuwaje?

Unakaaje na mwanao kuangalia kipindi cha UMBEYA?

Unakaaje na mwanao kuangalia kipindi kinachoanza saa tatu hadi saa sita usiku?
 
Jana nilikuwa pale cape town fish market gafla nikamuona lemutuz anaingie na kademu flan hapo hapo nikaanza kuona watu wanabonyezana kiba100
 
Tatizo hamuelewi . Le mutuz ye mwenyewe hajui kama ana kibamia ndio maana anabadili nguo mbele ya changu. Kwanini hajui ni kwa sababu hawezi kuona u bo o wake mana tumbo ni kubwa sana. Akijichungulia anaona tumbo. Sa inawezekana yeye hizi taarifa hana mpaka alipopigwa picha ndo akajiona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom