Jamani hbr, naomba tujuzane kwa wanasheria wanaojua vzr taratibu za kodi inayotakiwa kukatwa kwa mfanyakzi tunaofanya kazi hasa kwny mashrika binafsi ambayo kwa hapa tz yapo chini ya wizara husika, maana sisi huku tunakatwa kodi hadi laki 5 kwa mishahara inayofikia hadi 2m hizi scale za kodi...
Bora kabisa,uchumi wowote wa nchi yoyote ukiyumba serikali ina mamlaka ya kukata matumizi na kukata matumizi ni pamoja na kupunguza mishahara ya watumishi na kupunguza watumisi wasio na umhimu mkubwa serikalini. So magu yuko sahihi kabisa na wala hakuna sheria juu ya hilo.
Tumeshazoea haya maana magari ya serkali yanatumika hata muda ambao si wa kazi, utaona stk au stl mida ya saa 5 usiku limepakiwa bar ambapo muda huwa ni saa 12jioni, huyo dau nae ni hvohvo tu.
Humu jamiibkuna watu sijui waliingiaje mtu anapinga kuwa na budget et ndo inachelewesha maendeleo, inamaana kwakuwa tunataka maendeleo ndo tusijipangie duh hili nalo jipu humu.
Binadamu tumeumbwa kiajabu sana, kuna makabila fulani mtoto akikua na kutaka ajitegemeee mwenyw anaambiwa na wazazi wake kabisa kuwa hawezi na kama anavijisent kidogo anaambiwa vinamsubua, na ndo vilevile hata El nae walimwambia fisadi sasa katika siku zote Magu alipoingia madarakani hadi leo...
Na Muombea Mungu aifanye kazi yake kwa amani, kweli inauma sana more than 1000 workers ni hewa nchi hii kweli ilikuwa shamba sio la bibi tu ni zaidi ya bbi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.