Hawa ndiyo Wazungu bhana, Unafiki mpka kwenye mifupa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Donald Trump!
Wamemtukana muda wote kila gazeti linazusha na kumuandika vibaya, kila TV ya Wazungu imekuwa ikimzushia mambo, propaganda zikafanywa Dunia nzima nyingine zikafika mpaka huku kwetu kwamba Trump kasema Afrika hivi au vile wakati masikini ya Mungu Donald Trump hajasema chochote khs Afrika na wala hana hata mpango na Afrika ilifikia mpka Raisi wa Marekani Obama akasema kwamba Trump hawezi kuwa Raisi wa USA ikaenda Bunge la Uingereza nalo likajadaili kumpiga marufuku kuingia Uingereza yote hii unaweza kuiita kuiunganisha na wafuasi wa fisadi Lowasa wanavyomfanyia Raisi Magufuli na Serikali kwa neno moja tu nalo ni sabotage!

Sasa upepo umegeuka kuna kila dalili kwamba Trump anakwenda kushinda Uraisi kwani Hilary Clinton yuko hoi na Myahudi Sanders pia ana hali mbaya wakati Trump akikata mbuga, sasa hapa ndipo unafiki wa Wazungu unapoanza kuonekena media zile zile zilizokuwa zinamtukna na kumkebehi zimeshaanza kumuandika positive, utani na kejeli za kijinga zimeisha, naam Donald Trump hakamatiki tena,

Hili ni fundisho kwa wana chadema chini ya fisadi Lowasa Watanzania wanajua na wanaona kwamba Raisi Magufuli anayofanya ni sahihi na ya lazima hivyo kumtukana na kumkebehi kwenu kunazidi kuwajengea uwadui dhidi ya WatanZania kwani watawachoka na kuanza kujiuliza hata lengo lenu ni lipi hasa na mwisho watakapowageukia na kuanza kumkingia kifua Raisi Magufuli na hapo ndipo mauti yenu kisiasa yatakapo wadia!!
 
We ni fala kweli kwa Taarifa yako tu Trump hawezi kukubali upuuzi anaoufanya magu huko Zanzibar wenzako ccm wote hawampendi DT kwa sababu sera zake zinawaumbua nyie ccm
Na yeye is very straight hakupi msaada kama hakuna true democracy kwenye nchi yako You better moan
 
Donald Trump!
Wamemtukana muda wote kila gazeti linazusha na kumuandika vibaya, kila TV ya Wazungu imekuwa ikimzushia mambo, propaganda zikafanywa Dunia nzima nyingine zikafika mpaka huku kwetu kwamba Trump kasema Afrika hivi au vile wakati masikini ya Mungu Donald Trump hajasema chochote khs Afrika na wala hana hata mpango na Afrika ilifikia mpka Raisi wa Marekani Obama akasema kwamba Trump hawezi kuwa Raisi wa USA ikaenda Bunge la Uingereza nalo likajadaili kumpiga marufuku kuingia Uingereza yote hii unaweza kuiita kuiunganisha na wafuasi wa fisadi Lowasa wanavyomfanyia Raisi Magufuli na Serikali kwa neno moja tu nalo ni sabotage!

Sasa upepo umegeuka kuna kila dalili kwamba Trump anakwenda kushinda Uraisi kwani Hilary Clinton yuko hoi na Myahudi Sanders pia ana hali mbaya wakati Trump akikata mbuga, sasa hapa ndipo unafiki wa Wazungu unapoanza kuonekena media zile zile zilizokuwa zinamtukna na kumkebehi zimeshaanza kumuandika positive, utani na kejeli za kijinga zimeisha, naam Donald Trump hakamatiki tena,

Hili ni fundisho kwa wana chadema chini ya fisadi Lowasa Watanzania wanajua na wanaona kwamba Raisi Magufuli anayofanya ni sahihi na ya lazima hivyo kumtukana na kumkebehi kwenu kunazidi kuwajengea uwadui dhidi ya WatanZania kwani watawachoka na kuanza kujiuliza hata lengo lenu ni lipi hasa na mwisho watakapowageukia na kuanza kumkingia kifua Raisi Magufuli na hapo ndipo mauti yenu kisiasa yatakapo wadia!!
We ni fala kweli kwa Taarifa yako tu Trump hawezi kukubali upuuzi anaoufanya magu huko Zanzibar wenzako ccm wote hawampendi DT kwa sababu sera zake zinawaumbua nyie ccm
Na yeye is very straight hakupi msaada kama hakuna true democracy kwenye nchi yako You better moan
MLETA MADA NA WEWE UNAEJADILI WOTE NI MAPIMBI.
 
We ni fala kweli kwa Taarifa yako tu Trump hawezi kukubali upuuzi anaoufanya magu huko Zanzibar wenzako ccm wote hawampendi DT kwa sababu sera zake zinawaumbua nyie ccm
Na yeye is very straight hakupi msaada kama hakuna true democracy kwenye nchi yako You better moan


Donald Trump hana mpango na Afrika kwanza hata ukimuuliza TanZania ilipo siajabu wala hajui achilia mbali hata kuwahi kuisikia!
Na wala mambo ya Zanzibar au TanZania yetu hayamuhusu!
 
We ni fala kweli kwa Taarifa yako tu Trump hawezi kukubali upuuzi anaoufanya magu huko Zanzibar wenzako ccm wote hawampendi DT kwa sababu sera zake zinawaumbua nyie ccm
Na yeye is very straight hakupi msaada kama hakuna true democracy kwenye nchi yako You better moan
Asante kwa kumweleza ukweli, thanks
 
The end. Ukawa msichangie Uzi huu


Hahah mambo ya kitoto hayo, eti msicheze na yule na ukicheza naye basi usiongee na mimi, acha kuwaaibisha ukawa bhana!

Usikute hapo una mke na watoto, kweli Wanawake nao wana mizigo poleni sana akina mama, Duh!
 
Donald Trump!
Wamemtukana muda wote kila gazeti linazusha na kumuandika vibaya, kila TV ya Wazungu imekuwa ikimzushia mambo, propaganda zikafanywa Dunia nzima nyingine zikafika mpaka huku kwetu kwamba Trump kasema Afrika hivi au vile wakati masikini ya Mungu Donald Trump hajasema chochote khs Afrika na wala hana hata mpango na Afrika ilifikia mpka Raisi wa Marekani Obama akasema kwamba Trump hawezi kuwa Raisi wa USA ikaenda Bunge la Uingereza nalo likajadaili kumpiga marufuku kuingia Uingereza yote hii unaweza kuiita kuiunganisha na wafuasi wa fisadi Lowasa wanavyomfanyia Raisi Magufuli na Serikali kwa neno moja tu nalo ni sabotage!

Sasa upepo umegeuka kuna kila dalili kwamba Trump anakwenda kushinda Uraisi kwani Hilary Clinton yuko hoi na Myahudi Sanders pia ana hali mbaya wakati Trump akikata mbuga, sasa hapa ndipo unafiki wa Wazungu unapoanza kuonekena media zile zile zilizokuwa zinamtukna na kumkebehi zimeshaanza kumuandika positive, utani na kejeli za kijinga zimeisha, naam Donald Trump hakamatiki tena,

Hili ni fundisho kwa wana chadema chini ya fisadi Lowasa Watanzania wanajua na wanaona kwamba Raisi Magufuli anayofanya ni sahihi na ya lazima hivyo kumtukana na kumkebehi kwenu kunazidi kuwajengea uwadui dhidi ya WatanZania kwani watawachoka na kuanza kujiuliza hata lengo lenu ni lipi hasa na mwisho watakapowageukia na kuanza kumkingia kifua Raisi Magufuli na hapo ndipo mauti yenu kisiasa yatakapo wadia!!
hivi unaweza kutuandikia sisi wana JF tusi hata moja alilotukanwa Makufuli? au kuambiwa kwamba hapo amekosea kwako ndio matusi?
 
Yaani mleta mada ulivyounganisha hayo matukio mawili ya Trump na Magu kama kunywa chai kwa mlenda.
 
Mleta mada ana report kutoka Milembe Dodoma.
Ubongo wake uliathirika na ulaji wa Viwavi jeshi ulio pitiliza.
 
Donald Trump!
Wamemtukana muda wote kila gazeti linazusha na kumuandika vibaya, kila TV ya Wazungu imekuwa ikimzushia mambo, propaganda zikafanywa Dunia nzima nyingine zikafika mpaka huku kwetu kwamba Trump kasema Afrika hivi au vile wakati masikini ya Mungu Donald Trump hajasema chochote khs Afrika na wala hana hata mpango na Afrika ilifikia mpka Raisi wa Marekani Obama akasema kwamba Trump hawezi kuwa Raisi wa USA ikaenda Bunge la Uingereza nalo likajadaili kumpiga marufuku kuingia Uingereza yote hii unaweza kuiita kuiunganisha na wafuasi wa fisadi Lowasa wanavyomfanyia Raisi Magufuli na Serikali kwa neno moja tu nalo ni sabotage!

Sasa upepo umegeuka kuna kila dalili kwamba Trump anakwenda kushinda Uraisi kwani Hilary Clinton yuko hoi na Myahudi Sanders pia ana hali mbaya wakati Trump akikata mbuga, sasa hapa ndipo unafiki wa Wazungu unapoanza kuonekena media zile zile zilizokuwa zinamtukna na kumkebehi zimeshaanza kumuandika positive, utani na kejeli za kijinga zimeisha, naam Donald Trump hakamatiki tena,

Hili ni fundisho kwa wana chadema chini ya fisadi Lowasa Watanzania wanajua na wanaona kwamba Raisi Magufuli anayofanya ni sahihi na ya lazima hivyo kumtukana na kumkebehi kwenu kunazidi kuwajengea uwadui dhidi ya WatanZania kwani watawachoka na kuanza kujiuliza hata lengo lenu ni lipi hasa na mwisho watakapowageukia na kuanza kumkingia kifua Raisi Magufuli na hapo ndipo mauti yenu kisiasa yatakapo wadia!!
Acha kupotosha, wewe ni mtoto sana wa siasa za marekani
 
Chief umeanza vizuri,lakini huku mwisho ukaharibu

Jamani,uchaguzi umeisha.Tujenge nchi

Kwani Tanzania ina fisadi mmoja tu,kwanini unataja jina la Lowassa kila siku?

Sio poa,kumuita mtu Fisadi wakati mahakama ipo,na Rais anayechukia ufisadi yupo but yet,huyo mtu anayeitwa fisadi hajachukuliwa hatua yoyote,

Ni kuonyesha uwezo wako finyu wa kufikiri

Lowassa ana mazuri yake na mabaya yake.Siku moja jadili mazuri yake pia
 
Back
Top Bottom