Recent content by ntahena

  1. N

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Nimesikia furaha sana kujitokeza kwa Ridhiwani Watanzania tunaka mtu kama Ridhiwani kasema ukweli kama kunaushahidi, wajitokeze kama kweli si majungu nakupongeza sana Ridhiwani
  2. N

    Jenerali Ulimwengu: Staili za 'zimamoto' na ziara za kushtukiza haziendeshi serikali...

    Hata tukiwa na katiba nzuri sana hapa kwetu ufanisi utajitokeza watu wakisimamiwa na watendaji kwa ukali ndiyo dawa ya maendeleo katiba nimandiko yanayotakiwa baada yakuonyesha njia wapi tunataka kwenda, Jenerali ulimwengu yuko sahihi lakini wapi palipo na mafanikio third word kwa kufwata...
  3. N

    Magufuli, tupambane tuachane na kutegemea misaada!

    Msaada wanaturingia nao nisawa na kila Mtanzania akitoka 19000 tu, sisi wenyewe tu nauwezo wakuchangia maendeleo kama tukiweka utaratibu mzuri, hakuna sababu kuomba omba tunachangia harusi kwanini tusifunge mkanda ifunguliwe akaunti ya maendeleo watanzania wengi watachangia naiwe chini ya ofisi...
  4. N

    Tutegemee Baraza jipya baada ya Muda

    Itakuwa busara tukiombea mafanikiwa kwa mawaziri alio wateua tusiwaze vibaya, tuwe namatumaini na wateule walioteuliwa wao si malaika yakitokea makosa yawe ya mahati kama ajali kazini wakati wote tuwepamoja nao natuwaombee wafanye vema kazi walizopewa kwa manufaa ya Watanzania, kuvunja Baraza...
  5. N

    Ufisadi kwenye uteuzi wa Nehemia Mchechu?

    Kwanini Nehemia azungumzwi sana tunasahau histori ya shirika lilikuwa limekwisha kabisa sidhani kama tutakuwa wakweli tusipokuwa tayari kuona mchango wa Nehemia kwa shirika au lazima wachambuzi wa wa mambo watakuwa tayari kukumbuka wapi tumetoka? Tusimwandike kwa chuki binafsi tuwe wakweli...
  6. N

    Maswali magumu kuhusu TPA, TRA, ICD's, FS dhidi ya upotevu wa mizigo bandarini

    Nionavyo mimi kunahaja shughuli zote za kutoa mizigo bandarini pamoja na kushughulikia mizigo ya bandarini serikali iunde mamlaka ya kufanya kazi hizo,bandari yetu iwe chini ya mamlaka rais mwenyewe ndiyo chanzo kikubwa cha mapato
  7. N

    Wachimbaji wadogo waliofukiwa Nyangalata, waokolewa wakiwa hai baada ya kukaa siku 41

    Kwanini viongozi walioshiriki kwenye lile zoezi uokoaji wasiwajibike kutoa maelezo yakina kwanini hawakuendelea na zoezi la kuokoa watu
  8. N

    Sijawaelewa Radio Free Africa...

    Jamani nn mambo ya uadui nchi yetu zote palipo na ukweli andika ukweli kila Mtanzania atawaelewa
  9. N

    Lowassa alishaanza kwenda makanisani kuomba kura, Juma Duni ole wako uje msikitini

    Walutheri na siasa hatumo ndiyomaana picha za Lowasa, zilirushwa kutoka miongoni mwa waumini Yale ni mawazo yake binafsi siyo ya kila Mlutheri
  10. N

    Baada ya hotuba za Slaa na Lipumba: Napata hofu juu ya uwezo wa akili wa vijana wetu

    Ndugu yangu tuanzie kwenye familia zetu, nijambo la aibu vijana wetu hawako tayari kujadili mambo kwa umakini, kila maada ya maana wanatukana matusi, Dr Slaa kafungua mjadala vijana jitahidi kufwatilia acha ushabiki, kaweka wazi mambo muhimu sana, rushwa ni adui mkubwa sana kwa kiongozi
  11. N

    Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

    Magufuli anakazi ya pekee a napambana na maboss wake wawili ambao wote alikuwa chini yao vijana geuza mioyo yenu msaidie huyu bwana mdogo Magufuli,wote wawili walikuwa watendaji wakubwa kwake leo wamekeuka wakidai mabadiliko, hili ni jambo muhimu kuliangalie isije ikawa Ukawa kisingizio cha...
  12. N

    Ushindi wa Magufuli utaletwa na UKAWA

    Uchambuzi wako unahitaji watu makini kukuelewa asiye makini shida sana kukuelewa, kaka umenena ukanda kwenye sura ya uchaguzi ni kitu cha muhimu sana kuangalia na Ukawa,watu wa ukanda ule jichanganye kidogo watu watawaamini, someni upepo CCM watawaangusha kwa hilo
  13. N

    CCM yaomba msaada wa Mkapa na Mwinyi kumnadi Magufuli

    Jamani leo ni jumapili kanisa la kiinjili la kilutheri lisihusishwe na siasa, kazi yetu waumini nikuombea uchaguzi, chonde chonde Walutherani tumuombe Mungu uchaguzi upite salama
Back
Top Bottom