mercky
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 538
- 165
Magu Kama Magu anatamani aiongoze nchi hi yeye kama yeye! Sema kasahau kuwa katoka kwenye mfume huo! So hakuna jipya ndan ya fisiem. Mara ya kwanza tulikuwa tunakula makande kwenye sahani ya udongo leo kabadilisha now tunakula makande kwenye sahani ya plastk mwenye macho na aonee!!