Recent content by Nshomba

  1. N

    Hivi humu eti wanaume mpo serious?

    Binafsi MTU akiniambia yuko mkoa tofauti na ninaoishi hamu ya kuwa naye inakata maana najua hatutafika mbali. So ni heri nikapotezea kuliko kupotezeana muda... Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    Natafuta mume Mkristu

    Nina 33 miaka ifikapo mwez wa 6. Kikazi nipo shinyanga kishapu. Nina mtoto 1 ila sijawahi oa. Ni Mkristu tena mkatoliki. Mengine tutajuzana... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. N

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ntafurahi sana kama ancelot akipewa kazi...
  4. N

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kanjibai anazingua...
  5. N

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Unai aende tu aisee
  6. N

    Natafuta mume

    Nipo hapa..
  7. N

    Hivi wakaka mnaopiga chabo mnapataga faida gani?

    Wasukuma wanapenda sana huo mchezo...
  8. N

    Je solar panel ya 100watts unaweza kutumia vifaa gani?

    Nitakutafuta kaka unisaidie kujua nitatumia sola yenye ukubwa gani itayoweza kusukuma freezer kwa masaa 8...
  9. N

    Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

    Simu yangu haziwez kuconnect camera.. Poa kuna wakati nikiizima haizimiki huwa inaleta neno tecno kwa kuzunguka mwanzo mwisho hadi nitoe betri.. Msaada pls.
  10. N

    Tukumbushane vipindi na tamthilia maarufu za kwenye TV za kipindi hicho. Mnakumbuka wapi?

    Nakumbuka CTN ikifika mida fulani hv usiku walikuwa wanaonesha muv za kizungu.. dah haha nimeamka sana usiku kuchek muv na nilikuwa napenda sana vipengele vya mahaba aise ilikuwa poa sana..
  11. N

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Mbarikiwe sana. Naamini itatusaidia vijana wengi kujiajiri wenyewe.... Big up sana wakuu..
  12. N

    Natafuta mume njoo tuyajenge

    Kwa ugeni wangu humu naweza ikawa bahati yangu... Ni pm mrembo....
  13. N

    Kwanini upo single?

    Ninayempenda hanitaki...
Back
Top Bottom