Binafsi MTU akiniambia yuko mkoa tofauti na ninaoishi hamu ya kuwa naye inakata maana najua hatutafika mbali. So ni heri nikapotezea kuliko kupotezeana muda...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina 33 miaka ifikapo mwez wa 6. Kikazi nipo shinyanga kishapu. Nina mtoto 1 ila sijawahi oa. Ni Mkristu tena mkatoliki. Mengine tutajuzana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu yangu haziwez kuconnect camera.. Poa kuna wakati nikiizima haizimiki huwa inaleta neno tecno kwa kuzunguka mwanzo mwisho hadi nitoe betri.. Msaada pls.
Nakumbuka CTN ikifika mida fulani hv usiku walikuwa wanaonesha muv za kizungu.. dah haha nimeamka sana usiku kuchek muv na nilikuwa napenda sana vipengele vya mahaba aise ilikuwa poa sana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.