Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Halafu mashabik wa Arsenal wakawa wanashangilia
Kuwa Kocha wa Arsenal kwa ilipofikia sasa inahitaji mtu smart kumzidi mzee Wenger, vinginevyo naona Wengi watatimuliwa hapa .

Naona washabiki wa Arsenal wanataka mpira mwingi na matokeo pia, anayeweza kwa sasa hivyo vitu ni Ten hag wa ajax pia pep wa city ambao ni vigumu kuwapata.

Kwangu naona Mikel Arteta anaweza kuvaa viatu vya mzee AW coz anaijua philosophy ya Wenger pia kafanya kazi na pep, ngoja tuone kwa Freddie japo sina uhakika 100%, labda kwa Masterclass Pochettino nina imani naye coz anaweza kuja na style tofauti na AW.

Mimi nawataka

1.Poch.
2.Arteta.
3.Ancelloti pia yupo vizuri.
 
Mikel Arteta, close to take the job before, more than ready to be a number 1. Newcastle or Lyon tried to convince him but failed.

Other names bound to be discussed: Nuno, Benitez, Allegri, Marcelino Toral, Ancelotti.

Pochettino will manage top club next. My guess, not #Arsenal
IMG_20191129_164343_867.jpeg
 
Hongera! Kwetu sisi Arsenal

Maoni binafsi: Kocha wa kuwezesha Arsenal kurudi katika ubora kwa haraka ni Luis Enrique. Enrique ni kocha anayeweza kuitransform Arsenal na kuendesha kiufasaha kutokana na mfumo wake na hasa Caliber na foundation ya timu kuwa kama Barcelona.

Hivyo board ya Arsenal imtoe Enrique timu ya taifa ya Spain aweze kuingoza Arsenal.

Je ni vipi aiongoze Arsenal? Enrique asimame kama head coach na wawepo double assistant coaches ambao ni Freddie na Arteta (Avutwe kutoka City), Double defensive coaches ambao ni Steve Bould na Per Mertesacker pia wawepo Double tactics coaches ambao ni Robert Pires na Mathieu Flamini. Pia awepo head of surveillance and foresee Thierry Henry. Gilberto Silva na Patrick Viera First Team Managers.

Hili ndilo suluhisho.
Nakubali mzee baba.
 
Hongera! Kwetu sisi Arsenal

Maoni binafsi: Kocha wa kuwezesha Arsenal kurudi katika ubora kwa haraka ni Luis Enrique. Enrique ni kocha anayeweza kuitransform Arsenal na kuendesha kiufasaha kutokana na mfumo wake na hasa Caliber na foundation ya timu kuwa kama Barcelona.

Hivyo board ya Arsenal imtoe Enrique timu ya taifa ya Spain aweze kuingoza Arsenal.

Je ni vipi aiongoze Arsenal? Enrique asimame kama head coach na wawepo double assistant coaches ambao ni Freddie na Arteta (Avutwe kutoka City), Double defensive coaches ambao ni Steve Bould na Per Mertesacker pia wawepo Double tactics coaches ambao ni Robert Pires na Mathieu Flamini. Pia awepo head of surveillance and foresee Thierry Henry. Gilberto Silva na Patrick Viera First Team Managers.

Hili ndilo suluhisho.
LUCHO alikubali kuja ila kumbe moreno akagoma

Robert Moreno 'rejected offer to be Luis Enrique's assistant at Premier League club' before pair fell out over ex-Barcelona coach's Spain return Moreno 'rejected offer to be Enrique's assistant in Premier League'
IMG_20191129_164715_381.jpeg
 
Kuna mdau mmoja humu alishawahi kusema unai Emery hana akili sawasawa, leo nimeamini hilo, nimesoma habari yake huko sky sport eti anasema "I think we are improved" kwa Performance ya jana.
Hadi mi nimeiona nimeshangaa kichizi...kocha mdebwedo sana yule..
 
Hongera! Kwetu sisi Arsenal

Maoni binafsi: Kocha wa kuwezesha Arsenal kurudi katika ubora kwa haraka ni Luis Enrique. Enrique ni kocha anayeweza kuitransform Arsenal na kuendesha kiufasaha kutokana na mfumo wake na hasa Caliber na foundation ya timu kuwa kama Barcelona.

Hivyo board ya Arsenal imtoe Enrique timu ya taifa ya Spain aweze kuingoza Arsenal.

Je ni vipi aiongoze Arsenal? Enrique asimame kama head coach na wawepo double assistant coaches ambao ni Freddie na Arteta (Avutwe kutoka City), Double defensive coaches ambao ni Steve Bould na Per Mertesacker pia wawepo Double tactics coaches ambao ni Robert Pires na Mathieu Flamini. Pia awepo head of surveillance and foresee Thierry Henry. Gilberto Silva na Patrick Viera First Team Managers.

Hili ndilo suluhisho.
ah baba mbona kama umeuwaa kabisa. mipango ya kupindua fifa hii.....si tutakuwa tishio worldwide.
 
Tyreece John-Jules joined Arsenal squad for first team training today. Young striker is held in exceptionally high esteem by Ljungberg.
 
Can’t believe Unai Emery’s last ever substitution for Arsenal Football Club was to bring a defensive mid when we were 2-1 down. I think it summerizes why he got sacked.
IMG_20191129_180516_387.jpeg
 
Back
Top Bottom