- Thread starter
- #61
Shusha pumzi na vile vile nimeelewekaNiwe tu mkweli hata sijaelewa ulichoandika,Tatizo umeandika Kwa haraka sana,any way post upya afu tutakuja.p
Unaandika kama vile unakimbizwa
Shusha pumzi na vile vile nimeelewekaNiwe tu mkweli hata sijaelewa ulichoandika,Tatizo umeandika Kwa haraka sana,any way post upya afu tutakuja.p
Unaandika kama vile unakimbizwa
KweliHuwa wanakejeliana wao kwa wao tu
Ah wajanja wa jf bado hawajakugegeda. Duh basi ngoja nianze mpangoAku babu sijawahi
Hahaaa
Ukinila jua hutoki unakuwa teja haya shauri la mtu usije ukasema sikukuonyaAh wajanja wa jf bado hawajakugegeda. Duh basi ngoja nianze mpango
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijaelewa sijui ni hizi Serengeti lite...
Ukinila jua hutoki unakuwa teja haya shauri la mtu usije ukasema sikukuonya
Kwanza unamuonaje???
Kama mnacheza na hisia zetu kwa wale ambao tupo serious
HahahahaUkinila jua hutoki unakuwa teja haya shauri la mtu usije ukasema sikukuonya
Unacheka eh😂😂🤣
Hata mimi sio uongoBinafsi MTU akiniambia yuko mkoa tofauti na ninaoishi hamu ya kuwa naye inakata maana najua hatutafika mbali. So ni heri nikapotezea kuliko kupotezeana muda...
Sent using Jamii Forums mobile app