Kwa nijuavyo tofauti IPO kwenye muonekano LCD ni flat lakini inakuwa na nyama kidigo apa nazungumzia bodi. Tofauti ya LED yenyewe bodi yake ni nyembamba sana ni flat mpaka nyuma na kama sikosei INA port nyingi sana tofauti na LCD ila pia kwenye picture LED iko clear sana tofauti na LCD
Apo wapo ao warith Je! Ikiwa tofauti na apo hakuna ao warith nipo mwenyewe ndo faida kwa wapigaji sio na tusijifanye atujui kuna pesa za watu wengi zimepotea uko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.