Mabomu msafara wa Lowassa, hii inaashiria nini?

Mabomu msafara wa Lowassa, hii inaashiria nini?

Aache kutafuta kick kwa kutumia majanga! Kama ana Pesa akachangie madawati na huduma zingine!
Wewe umechangia madawati mangapi mwenzetu?! Mifuko 400 ya cement ni shs 6m! Hata kama anatafuta kick kwa njia hiyo, mbona husemi anatafuta thawabu kwa Mungu kwa kuwajali wahanga wa maafa? ! Mambo mengine tukatae kutenda dhambi kwa matamshi, maandiko na mawazo, hata kama una damu ya kijani, muogope Mungu kwa kupindisha ukweli, Lowassa kaonyesha kuguswa na shida za binadamu wenzie tofauti na aliyesema eti "tetemeko halikuletwa na serikali watu wafanye kazi" kweli kweli hiyo ni kauli ya kuwafariji watu! Nani asiyejua kwamba Tetemeko ni janga la asili, na ndio maana huwezi kukata bima dhidi yake! Eeh Mungu tunusuru!!!!!
 
Wewe umechangia madawati mangapi mwenzetu?! Mifuko 400 ya cement ni shs 6m! Hata kama anatafuta kick kwa njia hiyo, mbona husemi anatafuta thawabu kwa Mungu kwa kuwajali wahanga wa maafa? ! Mambo mengine tukatae kutenda dhambi kwa matamshi, maandiko na mawazo, hata kama una damu ya kijani, muogope Mungu kwa kupindisha ukweli, Lowassa kaonyesha kuguswa na shida za binadamu wenzie tofauti na aliyesema eti "tetemeko halikuletwa na serikali watu wafanye kazi" kweli kweli hiyo ni kauli ya kuwafariji watu! Nani asiyejua kwamba Tetemeko ni janga la asili, na ndio maana huwezi kukata bima dhidi yake! Eeh Mungu tunusuru!!!!!

Mbona una mahaba namba hii? Jipe moyo maana ni sawa na kushabikia Arsenal ukitarajia washinde Kombe la UEFA! Matarajio hewa hayo ndugu yangu huyo MTU hasahau Kabisa Urais wa JMT!
 
Kwani ilikuwa ni maandamano au alikwenda kutoa mkono wa pole na rambi rambi kwa wahanga!?.
[HASHTAG]#MunguTuacheTufe[/HASHTAG]
Bavicha mna akili za ajabu sana. Kwahiyo kwako wewe maana halisi ya mkusanyiko ni maandamano tuu au? Polisi waliwatawanya waliokusanyika katika mkusanyiko usiokuwa halali wa wafuasi wa UKAWA walioenda kumpokea Mfuga Ng'ombe.

Ndio maana Kichwa cha uzi kinasema " Mabomu Msafara wa Lowasa". Msafara haukuwa halali hakuombewa kibali.

Next time usiulize maswali ya kipuuzi shirikisha ubongo wako

[HASHTAG]#MunguAwaacheMfeKwaUpunguaniWenu[/HASHTAG]
 
Bavicha mna akili za ajabu sana. Kwahiyo kwako wewe maana halisi ya mkusanyiko ni maandamano tuu au? Polisi waliwatawanya waliokusanyika katika mkusanyiko usiokuwa halali wa wafuasi wa UKAWA walioenda kumpokea Mfuga Ng'ombe.

Ndio maana Kichwa cha uzi kinasema " Mabomu Msafara wa Lowasa". Msafara haukuwa halali hakuombewa kibali.

Next time usiulize maswali ya kipuuzi shirikisha ubongo wako

[HASHTAG]#MunguAwaacheMfeKwaUpunguaniWenu[/HASHTAG]

Kichwa kimeambatana na maswali mengine, kwan wengine hawakua na msafara?? Kwann mabomu hayakuwahusu?? Kama lowassa alipokelewa na umat mkubwa kwann wengine wasipokelewe kama yeye??
 
Maafa yalioikumba Tanzania huko Kagera na sehemu zingine yameleta simanzi kwa watanzania wengi. Hiyo imewalazimu watu wa kada tofauti tofauti kufika eneo lile. Kuanzia wa upinzani na CCM na serikali, mpaka majirani kama Kenya wamefika.

CCM wametembelea bila shida, Waziri Mkuu bila shida, upinzani akina Mbowe na Mbatia walipata figisu figisu kidogo.

Lakini alipoingia Lowassa police wakajaza magari mafuta mabomu wakapakia, bunduki wakazikoki na hatimaye wakatawanya watu wanaompokea anapowasili kwanini? Kwani hao wengine hawakupokelewa na watu?

Swali Lowassa ana nini kibaya katika Serikali hii?
Kwanini Serikali inamwandama kila anapokwenda?
Wakimsikiaga Mhe. anakuja BP inapanda na kushuka.....watakufa na roho zao...wanalainisha njia wenyewe 2020 panapo majaliwa Mh.ENL Ikulu moja safari hii hachomoki mkwere si alinusuriwa na magoli ya mkono hii hawatoki.
 
Kichwa kimeambatana na maswali mengine, kwan wengine hawakua na msafara?? Kwann mabomu hayakuwahusu?? Kama lowassa alipokelewa na umat mkubwa kwann wengine wasipokelewe kama yeye??
Hao waliokuwa na msafara wengi ni viongozi wa serikali na ujio wao unajulikana na ulinzi umetajwa ndani ya sheria zetu. Lowassa ni nani? Angeenda kama waziri mkuu mstaafu wizara husika anayoripoti ndiyo yenye jukumu la kuratibu kila kitu. Ila yeye aliamua kwenda kwa kofia ya mwanachama wa chadema ndio maana aliambatana na lema na hiyo ilikuwa ziara ya kichama na kwa utaratibu uliopo ilibidi wafuate yaratibu zinazohusiana na mkusanyiko wa aina yoyote.

Walipokelewa na viongozi wa chadema kagera ambao waliwafahamisha wanachama wa chadema wakusanyike ili kwenda kuwapokea wanachama hao wenzao hivyo kwa hilo walitakiwa wawe na kibali. Kubalini kuwa walikosea na next tym wajifunze. Hujiulizi kwanini Mbowe na Mbatia hawakupigwa Mabomu? Sababu walifata protokali zote.

Na walivyo na nuksi baada ya kuondoka wakamuachia kifo Aliyewa guide.
 
Anafanya siasa kwenye maafa
siasa gani kafanya kwenye maafa, au mnazungumza uharo tu.Lowasa bado watu wana imani naye sana.ndo maana akitoka tu ccm na polisiccm siku hiyo hawalali
 
Maafa yalioikumba Tanzania huko Kagera na sehemu zingine yameleta simanzi kwa watanzania wengi. Hiyo imewalazimu watu wa kada tofauti tofauti kufika eneo lile. Kuanzia wa upinzani na CCM na serikali, mpaka majirani kama Kenya wamefika.

CCM wametembelea bila shida, Waziri Mkuu bila shida, upinzani akina Mbowe na Mbatia walipata figisu figisu kidogo.

Lakini alipoingia Lowassa police wakajaza magari mafuta mabomu wakapakia, bunduki wakazikoki na hatimaye wakatawanya watu wanaompokea anapowasili kwanini? Kwani hao wengine hawakupokelewa na watu?

Swali Lowassa ana nini kibaya katika Serikali hii?
Kwanini Serikali inamwandama kila anapokwenda?
serikali inamwogopa sana na dhamira inawasuta kwamba wanakalia kiti kwa goli la mkono c kwa haki,kwa sababu hiyo kila atokapo serikali inawaza huenda Lowasa atatoa tamko
 
Bavicha mna akili za ajabu sana. Kwahiyo kwako wewe maana halisi ya mkusanyiko ni maandamano tuu au? Polisi waliwatawanya waliokusanyika katika mkusanyiko usiokuwa halali wa wafuasi wa UKAWA walioenda kumpokea Mfuga Ng'ombe.

Ndio maana Kichwa cha uzi kinasema " Mabomu Msafara wa Lowasa". Msafara haukuwa halali hakuombewa kibali.

Next time usiulize maswali ya kipuuzi shirikisha ubongo wako

[HASHTAG]#MunguAwaacheMfeKwaUpunguaniWenu[/HASHTAG]
No hard feelings mzee,hapo ndio ninaona Akili yko ilivyo ni takataka,unapayuka na kuniletea uchama.
Na sio wote wanaoongelea uhalisia ukahic kwa hzo hisia zako Nina shaka na zinapotokea
Au una stress nn?
[HASHTAG]#MunguTuacheTufe[/HASHTAG]
 
Wakimsikiaga Mhe. anakuja BP inapanda na kushuka.....watakufa na roho zao...wanalainisha njia wenyewe 2020 panapo majaliwa Mh.ENL Ikulu moja safari hii hachomoki mkwere si alinusuriwa na magoli ya mkono hii hawatoki.
Wewe ni mpumbavu na lofa sana! Unashabikia MTU aliyekataliwa na wananchi ?! Bora ukalime nyanya Rufiji au kapige zege? Hela ya kudeki barabara hakuna tena!
 
Wewe ni ******** na lofa sana! Unashabikia MTU aliyekataliwa na wananchi ?! Bora ukalime nyanya Rufiji au kapige zege? Hela ya kudeki barabara hakuna tena!
Waulize Mabosi wako wanaokulipa buku 3/7 na wakuu wako who is Lowassa maana huenda kwakuwa unatumia tumbo kufikiri na kuchumia tumbo ndiyo una bwabwaja tu.
Wapigie wakuu wako wote sasa hivi unaowajua toka juu kabisa hadi chini na kuwauliza Lowassa ni nani watakuambia tu.
Na kuthibitisha hili angalia Kagera juzi watu waliweweseka kumuona na order ya mabomu kutolewa.
 
No hard feelings mzee,hapo ndio ninaona Akili yko ilivyo ni takataka,unapayuka na kuniletea uchama.
Na sio wote wanaoongelea uhalisia ukahic kwa hzo hisia zako Nina shaka na zinapotokea
Au una stress nn?
[HASHTAG]#MunguTuacheTufe[/HASHTAG]
Stress nizitoe wapi na mimi nina furaha Maishani. Nimekujibu kwa hoja lete hoja huna pita kimya. Mwenye akili za takataka ni mimi au njie Majuha ambao hata taratibu na sheria hamzijui.

Propaganda mnayotaka kuileta hapa ni kuwa lowassa kaonewa au ana nguvu kubwa kiasi cha kuitisha serikali wakati si kweli. Huyo ni mwanachama tu wa kawaida kama walivyo wanachama wa kawaida. Hana impact yoyote sasahivi katika Siasa za Tanzania na atakapokiuka taratibu na sheria atachukuliwa hatua kama Wahalifu wengine.

Mbowe na Mbatia walivyoenda Kagera hawakupata walichokitarajia sababu serikali iliwapa ushirikiano wa kutosha kwa yale yaliyowapeleka na kitu kizuri walifuata sheria na kanuni za nchi.

Walivyoona hakuna impact yoyote na wananchi hawajawaunga mkono kwa kuegemea upande wao kwa kuonesha udhaifu wa serikali. Wakaona ni bora wamtume Mfuga Ng'ombe aende na kuvunja taratibu za kisheria ili wapate Matukio ya kuanzishia thread kama Mlivyofanya kwenye hii thread. Matokeo yake hawajaungwa mkono mmebaki kutoa maneno ya shombo tuu.

[HASHTAG]#munguawaachemfekwaupunguaniwenu[/HASHTAG]
 
Waulize Mabosi wako wanaokulipa buku 3/7 na wakuu wako who is Lowassa maana huenda kwakuwa unatumia tumbo kufikiri na kuchumia tumbo ndiyo una bwabwaja tu.
Wapigie wakuu wako wote sasa hivi unaowajua toka juu kabisa hadi chini na kuwauliza Lowassa ni nani watakuambia tu.
Na kuthibitisha hili angalia Kagera juzi watu waliweweseka kumuona na order ya mabomu kutolewa.
Najua kwamba ni MTU aliyekataliwa na Mwalimu Nyerere, CCM na Wananchi. Kwa mujibu wa Kubenea(Mwanahalisi) ni MTU ambaye hasafishiki kwa Ufisadi. Kwa mujibu wa Lema, ni heshima kwa Mungu kumzomea!
 
Najua kwamba ni MTU aliyekataliwa na Mwalimu Nyerere, CCM na Wananchi. Kwa mujibu wa Kubenea(Mwanahalisi) ni MTU ambaye hasafishiki kwa Ufisadi. Kwa mujibu wa Lema, ni heshima kwa Mungu kumzomea!
Siri ya ushindi wa CCM mwaka jana muulize January,Nape,Mkapa,Mwinyi,Mkwere,Mangulla na Kinana pamoja na aliyeshindishwa.
Ndiyo maana mnahofu kila kukicha mnapiga ban na kukumbia wenyewe kama mwanariadha aliyepekee na hatimaye kushangilia ameshinda ilikhali alikuwa peke yake.
Kama mnajiamini hofu ni ya nini??????
 
Siri ya ushindi wa CCM mwaka jana muulize January,Nape,Mkapa,Mwinyi,Mkwere,Mangulla na Kinana pamoja na aliyeshindishwa.
Ndiyo maana mnahofu kila kukicha mnapiga ban na kukumbia wenyewe kama mwanariadha aliyepekee na hatimaye kushangilia ameshinda ilikhali alikuwa peke yake.
Kama mnajiamini hofu ni ya nini??????
Una maana kwamba Lowassa alishinda? Ndoto za kijinga hizo! Amchague nani yeye kuwa Rais? Watu siyo wajinga kama wewe! Wasingeiweka Nchi rehani period!
 
Una maana kwamba Lowassa alishinda? Ndoto za kijinga hizo! Amchague nani yeye kuwa Rais? Watu siyo wajinga kama wewe! Wasingeiweka Nchi rehani period!
Ngoja Tume huru ya uchaguzi muugulie maumivu,kama Lowassa siyo kitu mbona mnatoa upepo tu shida nini???
Wakuu wako wanajua mziki wake ukoje wewe Stomach Thinker and Seeker unajiondoa ufahamu kisa Tumbo.
Jiulize nguvu nyingi za nini zinatumika na ni kwasababu gani na siyo hizo sababu uchwara zitolewazo na wenzako.
Kama Wassira anajua na anakiri licha ya wewe particle???
Ondoa akili ndogo hapa ..
..
 
Back
Top Bottom