Bank ABC wana aslimia 23 per year
Kwa 8 years, riba ni 23×8= 184%
184/100× 14000000= 25,760,000/=
25,760,000+14000000=39,760,000/=
Kwa hiyo wako sawa.
Alichokosea mwalimu hakuuliza riba na makato kwa mwezi.
Njooni tupige bodaboda, mimi nikitoka zangu kazini mida ya jioni naingia kijiweni kupose na boda yangu. Kufikia saa tatu usiku sikosi 10 kama faida ingawa hii kazi ni risk saana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.