Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,149
Bajeti yangu Ni tsh 7milion, wazoefu wa Nyumba rahisi, naomba ushauri is it possible?
Mimi naomba kujua kama inatosha kujenga vyumba viwili vyenye choo ndani yaani master bedroom kwa mfumo wa nyumba za L za kupangishaVyumba viwili unamaanisha chumba na sebule? Au vyumba viwili vya kulala na mahitaji mengine yakiwemo kama sebule, jiko, choo, dinning nk.?
Ungekua na mchoro ukaweka hapa ilikua ni rahisi kupata makadirio kuliko kufanya kwa nadharia
Nikutakie kila la heri chief
Namaanisha vyumba vya kisasa chief yani ndani kuwe na tiles switch za taa na socket za kuchargia simu, bado vitatoka saba?L unajenga vyumba saba kwa ujenzi wa nyumba za jangwani zile zisizo na paa refu.
Namaanisha vyumba vya kisasa chief yani ndani kuwe na tiles switch za taa na socket za kuchargia simu,Bado vitatoka saba?
Utapata vyumba vitatuNamaanisha vyumba vya kisasa chief yani ndani kuwe na tiles switch za taa na socket za kuchargia simu,Bado vitatoka saba?
Huu ulongo sasa🤣🤣🤣🤣 hicho chumba kina ukubwa gani?Haitoshi. Chumba kimoja na choo chake ndani cha kisasa. Bajeti yake ni milion 5.
Huu ulongo sasa🤣🤣🤣🤣 hicho chumba kina ukubwa gani?
Kwa hiyo ukivipiga kama saba hivi cost per unit inaweza shuka mpaka 4m hivi?Chumba kimoja master bedroom cha kisasa. + septic tank, + uingize maji + umeme.. milioni 5 inafika.
Kujenga vyumba vingi kwa muda mmoja ni nafuu kuliko kujenga chumba kimoja kimoja
Kwa hiyo ukivipiga kama saba hivi cost per unit inaweza shuka mpaka 4m hivi?
Kwa hiyo hapo mzeya m25 umemaliza kazi na ukiwa na septic tanks?Hadi 3.5m inawezekana per rum ya kisasa . Kama ukijenga rum 7 kwa mara 1
Kwa hiyo hapo mzeya m25 umemaliza kazi na ukiwa na septic tanks?
Nimekuelewa kumbe kutishana tuu. Naweza jenga gheto langu vizuri kabisaNdio. Maji pia huingizi mara mbili mbili wala nguzo za umeme.. pia tofali hutumii nyingi maana kuta za hivyo vyumba zinategemeana. Na fundi nae humlipi kwa idadi ya rums. Bali kwa jengo moja tu
👍Ndio. Maji pia huingizi mara mbili mbili wala nguzo za umeme.. pia tofali hutumii nyingi maana kuta za hivyo vyumba zinategemeana. Na fundi nae humlipi kwa idadi ya rums. Bali kwa jengo moja tu
Mkoa gani mkuu?Hiyo L yangu hadi apo zimekatika 5.5M
Ina vyumba vi3, kimoja masta, sebule moja na public toilet moja
View attachment 2343503