Ven26
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,069
- 2,276
Hatujalalamika kuachika, hata mwanaume anaachika ndo maana wakiwa katika kuachana mwanaume kama hajakubali kuachika vurugu zote matusi yoote kwa mkewe.....kuachika sio issue....issue ni ndugu kuingiliaKuweni na heshima na utu Wala hamtoachika.