ndugu kwanza pole sana.......wanawake weng ndivyo walivyo tena weng wao wanapokaa mbali na waume zao hufany sana huo ujinga. na ndio maana siye wengne tuliona ni bora kuoa wale ambao tutakuwa nao pamoja hata ukihama unahama nae atleast hupunguza hiyo kasi ya uchepukaji. ila wanawake weng...
kwan hujaelewa nn hapo wewe pimbi!.... demu yawezekana kakuona na hajakukubali, yawezekana unaswagz za kishamba...(change urself). ur not hb jins alivokuona....tafadhar acha kutongoza demu kwa kujifanya kukosea namba au kuptia mitandao ya kijamii.....tafuta na mtongoze in real situation acha...
yaan wewe ni ful mshamba......kwan unakaa dar sehem gan huko mliko waduwanzi? dar ni bonge la shule hiyo dar yako itakuwa yakina diamond(ushamba mwing)...yaan unachunwa hujijui na nyapu hupewi, ushaur wang fanya hima kabla ya kumpga chini kampga japo vocha(t...g..) kisha mpe real.....acha...
kuna dogo mmoja msanii mashairi yake ni funzo tosha....yanasema "ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani" hapo nadhan utakuwa umeelewa ana maana gani.au mfano umemfumania mkeo anagongwa bila ya wao kushtuka ni busara utulie ukitzama wapi unakosea then ujirekebishe. ni ushauri tu!!
acha matusi wewe! umeulizwa fresh tu mwana.hii mada topic inasema 'kwa wanaume tu' sasa kama ni dume unkaribishwa sana but if ur female bas wewe ni mfano wa wale wanawake wa kushobokea wanaume au ya mbeya.safi sana umekuwa poa kwenye mfano wa hii maada inayozungumzwa.
safi sana hyo ndo adhabu stahiki aliyoipata,kama kuonywa alionywa bt jeuri ya et kapendwa sana na mke wa mtu si usen** huo.harafu je alivokuwa akinyatia mke wa mtu alikuwa akivaa hiyo barakhshia au baada ya janga ndo kamrejea mungu wake?
nipe namba yake nimweke ndani kwakuwa wewe bado mtoto....watu cku hizi hawaoi kabila bali tabia.kama humpend tupe namba zake halafu wewe uendelee kupekua makabila yote nchini.boya wewe!!
wimbo wa RICH MAVOKO "ROHO YANGU" unakupa jibu tosha,siku zote hzo ni siri za ndan...jaribu kujitazama wewe umebadilika wap ktk mapenz yenu kwan inaweza kuwa ni sababu kubwa ya yeye kutoka nje ya ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.