MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,460
- 1,476
Napata wasiwasi kidogo, unasema ulimuoa akiwa na miaka 20 akiwa ametoka kumaliza kidato cha nne. Ina maana shule ya msingi alianza akiwa na miaka mingapi?
Nenda Kaulize Facebook na Instagram
Napata wasiwasi kidogo, unasema ulimuoa akiwa na miaka 20 akiwa ametoka kumaliza kidato cha nne. Ina maana shule ya msingi alianza akiwa na miaka mingapi?
Kwani kuzini ni kwa mwanaume tu?Adhabu ya mwanaume mzinifu wa kiislam ni ipi?
Chuo gani hicho mkuu?just curious to knowAlianza chuo 16.3.2014 na kuhitimu 13.6.2015. gharama za masomo ni Tshs mil 5.5.......tangazo la ajira limetoka tarehe 9.7.2015
Ngoja nikufafanulie nioa mwaka 2010....mtoto akazaliwa 16.3.2011....mwaka jana mwezi wa tatu akaanza masomo chuo cha wanyama pori kwa short course ya miezi 3 ada yake ni mil 1.9 akahitimu mwezi wa 6 2014...then mwezi wa 8 akaanza kozi ya mwaka mmoja na amemaliza mwezi wa 6.....ilifupishwa kutokana na uamuzi wa chuo.......ingia www.ajira.go.tz....tazama nafasi za kazi zimetoka tarehe 9 ya mwezi huu.......nidanganye ili iweje.....ninastress hata muda wa kudanganya sina
Michepuko ni balaa, lakini ni kwa nini mwanamke akichepuka inaonekana ngumu kwa mme kusamehe na kusahau.
Wanaume wangapi wanachepuka na wake zao wanasamehe!!! Tena mnachepuka mpaka mnaleta watoto, na bado mke anakupokea. Ndiyo tunatofautiana, cha msingi Msamehe mkeo, mpende mkeo mwishi mlee mtoto wenu, uzuri mkeo amekiri na kukuomba msamaa. Mtoto akinyea mkono hatukatiii.
Jiulize kama mme ndo angechepuka. Fikilieni kuhusu watoto wenu, kosa lishatokea, kutengana kwenu ndo mnazidisha dhambi na mateso kwa familia. Ni bora mkayaweka sawa sasa kuliko kutengana. Zaliweni upya, sahau yaliyopita, mchukue mkeo mwende sehemu mkakae wawili tu kwa muda hata wa wiki moja, mzungumze, na muanze maisha mapya.
Nawaombea, mwenyezi Mungu awafunulie upendo ndani ya fumbo hili, msameheane, mkae mlee familia.
kiukweli nimejikuta mpaka nalia wanawake tunaonewa kabisa janaume likienda kusoma wengine wanachepuka kiasi kwamba mpaka anasahau ndoa na anachumbia upya huko chuo lakin mwanamke anasemehe iweje huyu asisameheme apige moyo konde maisha yaendelee