Msaada jamani! Yamenifika

Msaada jamani! Yamenifika

Chapa kwanza mzigo uache historia zen find for new chick ambaye atakuwa anaendana na ww pia utakuwa na mpango nae
 
yaan wewe ni ful mshamba......kwan unakaa dar sehem gan huko mliko waduwanzi? dar ni bonge la shule hiyo dar yako itakuwa yakina diamond(ushamba mwing)...yaan unachunwa hujijui na nyapu hupewi, ushaur wang fanya hima kabla ya kumpga chini kampga japo vocha(t...g..) kisha mpe real.....acha ushamba weweee
 
Kweli yule dada alikua mchunaji, nimekataa ombi zake mbili alizoomba hapa karibuni nikaona mawasiliano yameanza kupungua
 
uzuri wetu sisi wanaume tukichunwa hatujui na hata ukiambiwa hukubali sasa ww kataa kubali lakini hapo hakuna kitu mkuu UNACHUNWA
 
Hiyo salon nani kampa mtaji, na alikuwa anaiendeshaje hapo mwanzo....okay inawezekana ni kweli anashida ila sio ya salon but angalia mawasiliano yenu hata ya simu yanaendaje au pengine hujamwambia kuwa unania ya kuwa nae kama mke so anawahi chake mapema
 
Huyo nae amezidi sana mizinga.

Kata mawasiliano haraka iwezekanavyo.

Au wewe mwenyewe siku ya kwanza mlipokutana ulijifanya babu kubwa?

Labda ndio maana anatumia upenyo alioupata
 
Back
Top Bottom