Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
natamani wakwe zangu wangesoma hii thread
halaaa kulikon?
natamani wakwe zangu wangesoma hii thread
Kikristo, mwanaume akilala na mwanamke wameunganishwa kwenye ndoa (Ambayo si takatifu) since Mungu hakushirikishwa. Consummation of marriage is the real marriage kwa sababu hata mkila viapo kanisani consummation isipotokea hiyo si ndoa.
Sasa basi kwa sababu Mungu alisema tiini mamlaka. Ndoa ikifungwa serikalini ni ndoa halali (japo si takatifu since Mungu hakushirikishwa). Hata kama viongozi wa dini hawajaikubali.
Kama unamwogopa Mungu ni ndoa. Kama unawaogopa viongozi wa dini (honestly sijui huwa wanaichukuliaje), ila aliyeshiba neno anajua ni ndoa. Vigezo na masharti ya ndoa za kikristo kuzingatiwa! Yani kama ya kanisani vile.
halaaa kulikon?
Natumai mtakuwa mpo na afya tele wanammu.
Swali langu nitakalo kuuliza ni je ndoa ya serikali inatambulika kimungu hasa kwenye ukristo?
Na je kama wanandoa waliofunga ndoa ya serikali halafu ni wakristo wakiachana inaruhusiwa kuoa au kuolewa tena,
asanteni
swali
la kwanza je Mungu anatambuwa serikali?
anatambua ndio maana baadhi ya vitabu amesema mamlaka zilizoko duniani ziheshimiwe
Nimeeleza kwa muktadha wa kikoloni kwani dini ya kiristo ililetwa na wazungu na hadi leo majority ya wazungu ni waktristo
Kwa hiyo unataka kumaanisha nini hapa? Ukristo ni dini ya kikoloni, ukristo ni dini ya kizungu kwahiyo Wakoloni wote walikuwa wazungu, Wakristo wote ni wazungu,
natamani wakwe zangu wangesoma hii thread
kwan romantc uko ya boman nn...naona umekazia mbaya
Nauliza tuu... hivi wazee wa zamani kuanzia Adam na Eve, Noah na Mkewe, Abraham na Sara na wengineo... walifungishwa na nani??
mkuu naomba kwa maelezo yako nikuulize maswali mawili,umesema inakua sio takatifu,kwa nini sio takatifu?pili Mungu unamshirikishaje unapotaka kuoa? Maswali mengine yatatokana na majibu yako.