Nimempenda House Girl Wangu

Nimempenda House Girl Wangu

he he he pabaya hapo mkuu..once u start its hard to stop..mabeki tatu noma sana utagonga kila beki tatu anayekuja.
 
Wanaume tunatofautiana, vivyo hivyo wanawake pia, kwa mwanaume kuhitaji ladha tofauti ni suala la kawaida na huwa inatokea kwa kila mwanaume.
Young women have more femine energy than older one.
Ndugu unacho experience hapo sio mapenzi/kumpenda huyo mdada ni mvuto wa usochana wake tu, usiuingize kwenye mapenzi.

Ukishindwa we gegeda wasichana kadri uwezavyo ila jua MEN ARE MISSION DIRECTED na kama mission ulionayo ni kumgegeda we gegeda na kama mission siyo hiyo basi usifanye.

"the way of superior man"
 
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.

Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam

Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.

Mmeenda kupima wote mko salama it means mlishagegedana then mkaenda kupima so mnauendleza huo mchezo ! bwana awe nanyi
 
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.

Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam

Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.

kwa ushauri,nipe namba yake nimvute kwang as a bk 3
 
jitahd hivyo mpilipili,we fanya npe namba yake halafu aje kwang kama bk 3
 
mke wako ni MPUUZI kukuacha na HG mrembo. On the contrary huenda alimaanisha. Ukizidiwa umalize HAPOHAPO home. Wanawake wana akili sana.
 
Najua situation uliyomo mkuu. Kama mmepima na mpo salama wewe tafuna tu, ila atunze siri. Nawe pia usijisahau sana kwa huyo beki tatu. Si unajua tena!
 
Wanajamvi nashukuru kwa comment zenu mchanganyiko. Kwa muhutasari nimefarijika na kupata jibu muafaka. Njia pekee ya kuwa salama ni kuacha mahusiano nje ya ndoa, mbinu rahisi ni kuacha fikra na mawazo ya kutamani tamani. Pili, ni kuacha kuanzisha mahusiano mapya. Inawezekana kabisa kati yetu tunatumikia kifungo kama changu, njia pekee ya kuwa huru ni kuacha kuanzisha mahusiano mapya, pindi mahusiano yaliyopo yatakapoisha na iwapo dhamira yetu si kuanzisha mengine mapya basi hiyo itakuwa ndio tamati.

Mwisho kabisa UKIMWI ni kweli unaua njia pekee ya kupambana na gonjwa hili ni kuacha kufanya ngono kabisa, kuwa mwaminifu kwa mpenzi mmoja na yote hayo yakishindikana tusisahau kutumia kondom na tuzitumie ipasavyo.

Tanzania bila unyanyapaa, maambukizo mapya na vifo vitokanavyo na UKIMWI inawezekana.
 
Huyo Bora umuondoshe mpe haki zake kwanza maana keshafikia muda wa kuachana na familia yako... zamani sie tulikuwa tunakaa na Dada wa kazi miezi sita tu... baada wa kwanza kuishi naye miaka mitatu tulizoeana kama dada wa familia... kama anafahamu kiingereza nitamuunganishia kazi maeneo ya Upanga kuna mgeni anahitaji sana mwenye kuelewa english na kujibu maneno japo machache... Pole sana kwa huo mtihani.... ila huna jinsi....
 
cheki na mkeo, inawezekana hivi ninavyoandika yuko juu ya mwanaume wa kweli akipata raha

kumbuka what goes around comes around
 
Mbona sikupati mkuu!!,hivi ushauri unaoutaka ni tukuambie umpe talaka mkeo au uaachane na huyo house girl?? Loo....!!
 
Back
Top Bottom