Recent content by Noah the Great

  1. N

    Sababu za kiroho kwanini Mike Tyson alipigwa na Evander mwaka 1996

    God of Israel is very POWERFULL. NOTHING can defeat him. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    Tunaopitia hii changamoto tupeane ushauri

    Mama yako anamaumivu moyoni, ambayo yamesababisha akuone tofauti na wewe unavyotamani akuone. Lamuhimu ni kuchunguza, je anaishije na huyo mdogo wako? Je anafanya kwake, kama anavyofanya kwako? Then, jaribu kuongea na mdogo wako kuhusu unavyoishi na mama yako!.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. N

    Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

    Aisee! Pole sana, na hongera kwa kujiamini na ujasiri mwingi ulionao. Maisha ni kujiamini, na huo ndio uponyaji wako.
  4. N

    Naona Mauzauza Ofisini ,ni sehemu mpya ya kazi

    Mzee baba! Huyo unayefanya naye kazi anaweza kuwa mzazi mwenzako, ila mazingira mliyokutana ndio mageni kwako, thusway huamini kama anaweza kuwa hapo. Jitahidi kuwa makini sana kwake kama wengine walivyokushauri. Ushauri wangu kwako; -Kwanza mtafute weekend au jioni moja tulivu, mtoe out, then...
  5. N

    Wanaume walioharibika akili

    Maelezo yamebeba hoja za msingi sana. Mwanaume ni kiongozi tangu kuzaliwa. Mwanaume amebeba kusudi la Mungu. Mwanaume akibadilika na kuacha misingi ambayo Mungu aliiweka, hapo ndipo anapoanza kuangamia. Hawezi kubaki salama. Dunia inamuheshimu mwanaume, endapo ameishika misingi ya Mungu. Ila...
  6. N

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wandugu! Wenye songi la Allan Mulumba Kashama, lile la sebene, alirushe humu. Moja ya kipande anachogani ni, "kifua chuma"!.. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. N

    TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

    Clouds inaweza kupitia kipindi kigumu. Hali inayoonekana au inayotokea kwasasa ni hali ya matukio, ambayo inaweza kupelekea Clouds kupita katika kipindi kigumu, kwa kampuni na wafanyakazi wake. Ifahamike kuwa, Ruge alikuwa kiongozi mkubwa, na alifahamika kama Boss Ruge. Ieleweke vizuri kuwa...
  8. N

    Kwanini ni muhimu kumsikiliza mwanao?

    Taarifa ni njema, na imekuja kwa wakati mzuri!.. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. N

    Rafiki wa kike wa mume wangu ananitesa

    Mwaijah! Tatizo linaonekana lipo kwako. Kinachotokea sasa ni matokeo ya vile ulivyokuwa unaishi, kufanya au kuongea kwa mume wako. Hakuna mwanaume anayeweza kukuoa then leo hasikuthamini. Kitendo cha kukuoa tu, kinakupa thamani kubwa sana. Pia, inaonesha umeandika kwa kuficha mambo mengi, ila...
  10. N

    Wafanyakazi wa Sahara Media Group wagoma wakidai stahiki zao

    Aisee! Hivi hawa uliowataja, ni kweli wamekupa? Au?!..
  11. N

    Mwanamke asiye na pesa ana heshima kuliko mwenye nazo

    Dah! Mzee nimetamani kujua hata kidogo tu kati ya yale uliyoshuhudia!..
  12. N

    Zitto Kabwe aombe radhi hadharani kwa kupotosha umma

    Mleta mada unapaswa kukumbuka kuwa, "hoja hujibiwa kwa hoja". Achana na kudili na Zitto, bali hakikisha unajibu hoja aliyoileta zitto. Kumbuka hoja ni 1.5 trilioni, CAG anaonekana alizikusanya ila hazionekani kutumika kokote. CAG anakiri wazi kuwa, inawezekana zimetumika kwenye matumizi...
  13. N

    Mwinjilisti: Barua kwa Rais Magufuli, kwanini umejiandaa kumwaga damu za watanzania wasio na hatia?

    Namshauri! Mheshimiwa mtukufu rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, asiupuuzie waraka huu. Ahsante!..
Back
Top Bottom