LaplaceTransformation
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 776
- 679
Wacha bwana!! Mie hii ilinitokea kwa rafiki wa bf wangu ikabidi tu tufanye kweli na ikawa ndio the best relationship i ever had.Katika jicho la tatu ninachokiona ni kwamba hii ndoa yenu haikuwa ya hiari kwa pande zote mbili. Its very possible kwamba uliweka pressure sana katika kuolewa aidha kwa umri ama urefu wa mahusiano yenu ilihali mwenzio hakuwa ameridhia kukuoa na kutulia nawewe kama mume.
Seems kwamba wewe si mwenza sahihi kwake na humpi furaha kwa asilimia zote kama ambavyo huyo best yake anampa na the bad news ni kuwa jamaa anamgonga like serious. Plenty of sex and quality time ya feel me! Wewe umefanikisha kuwa mke kwa sababu umefosi na jamaa hakupendi kama ambavyo ulikuwa unadhani sasa anachofanya ni kudhihirisha hilo waziii kupitia huyo gerofrendi wake na ndicho ambacho kinakuumiza!
To be honest nakuonea huruma sana maana kuachaga uhusiano na mwanamke wa hivyo ni ngumu sana. I had one bestfriend who we turned out to be lovers mpenzi wangu akawa anamjua nikabanwa sana nimuache, haikuwa rahisi maana mtoto ananoga kweli kuanzia looks mpaka characters, very humorous, cute & romantic nikimuangalia mains namuona ng'ombe tu. Bestie felt for me utadhani tumetoka tumbo moja DNA zetu zikawa entwined, basi ni burudani na furaha 24/7 sitaki kumkosa hata kwa sekunde 1, kama sipo nae ujue nachat nae tu siku nzima. Kilichonifanya nimuache ni vile alikuwa na mshkaji wake ambae hawakuwa katika terms nzuri by the time so i was rebounded nikaona nisije kosa bara na pwani nikarudi kwa mainchick wangu! Aliumia sana though maana tulikuwa so deep in love and sex tour!
Na wewe Tafuta rafiki yako WA olevel wa kiume uwe naye close lazima ataaacha huo ushenziSasa kama kuna uhusiano si angeolewa huyo rafiki ambae alikuwepo kabla yako. Usikute huyo rafiki ndie alie weka Ok wewe kuolewa, hivi wewe na mumeo huwa mnatext mara ngapi kwa siku? Mnapigia simu mara ngapi? Maongezi yenu yanaendana? Ukimuona mwanaume yupo kwa mwanamke mwengine ujuwe anayofanyiwa ndio mapungufu yako.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Umetisha ina mana uliyenaye ulimdumpWacha bwana!! Mie hii ilinitokea kwa rafiki wa bf wangu ikabidi tu tufanye kweli na ikawa ndio the best relationship i ever had.
Wacha bwana!! Mie hii ilinitokea kwa rafiki wa bf wangu ikabidi tu tufanye kweli na ikawa ndio the best relationship i ever had.
Pole mkuu.Nimekuwa mfuatiliaji wa mikasa ya watu humu leo na mimi nikaona nilete jambo langu linalonitesa kwa muda mrefu ili nijue nini cha kufanya. Mimi ni binti niko ndani ya ndoa, wakati naolewa mume wangu alikua na rafiki yake wa kike ambaye wenyewe wanadai urafiki wao ni wa kawaida tu kwani wanajuana muda mrefu. sasa tatizo huu urafiki wao umekuwa kero kwangu yani ni ule urafiki uliopitiliza kiasi kwamba kilasiku nikiangalia kwenye cm ya Mr lazima nikute wamewasiliana hata mara 50 text ndo usiseme. Kila sehemu wanaenda wote na huyo binti yani kama kumbikumbi mimi niko chuo wakati mwingine nikiwa chuo nikirudi hom namkuta huyo binti na Mr sebuleni inamaana ana courage ya kuja kwangu mimi nikiwa sipo, mara nyingine weekend tuko nyumbani na Mr, binti anampigia Mr cm njoo nyumbani kwangu ule nimepika, mume naye kilasiku lazima aripoti nyumbani kwa binti, mara binti aje nyumbani kumpitia Mr amsindikize sehemu, wakati mwingine tumelala weekend asubuh saa 1 binti kapiga cm kwa mr unafanya nini amka twende kwa fulani {mshikaji wao} yani full tafrani hana adabu kabisa ila nilichogundua ni kua mr nae ndo anampa ujeuri coz kuna kipindi niligombana sana na huyu binti kuhusu tabia zake huwezi amini alinijibu kuwa mimi siwezi kuwatenganisha kamwe nikitaka nimwambie mume wangu ndio ampige yeye marufuku kua na ukaribu nae ila sio mimi. Jamani cm wanapigiana mpaka saa 6 usiku. wenyew wanadai wao ni marafiki wa kawaida tu na hakuna kinachoendelea. nimejaribu kuuvunja urafiki huo unaoniumiza nimeshindwa mimi wenyewe hawana hata habari. Je kuna urafiki wa aina hii kweli kati ya mwanamke na mwanaume tena mume wa mtu? kwanini kusiwe na mipaka jamani..Huyo mwanamke ni mjeuri hatari ukimwambia anakujibu kwa dharau sana, mume naye ndo kwanza hana habari nisaidieni jamani nifanyaje?
Iko hivi..... Rafiki wa bf wangu aligeuka kuwa best friend wangu. Then ubest ukazaa feelings kali kweli kweli. Tukashindwa kujizuia, ikabidi nimuache bf niwe na rafiki yake🙈🙈🙈🙈Umetisha ina mana uliyenaye ulimdump
Baada ta kuachana, ila sababu ya kuachana ndio hiyo.Dah, ilikuwa mda gani? Baada ya kuachana ama mbona ina ukakasi
Tafuta na ww rafiki wa kiume muwe karibu bila kufanya lolote.Nimekuwa mfuatiliaji wa mikasa ya watu humu leo na mimi nikaona nilete jambo langu linalonitesa kwa muda mrefu ili nijue nini cha kufanya. Mimi ni binti niko ndani ya ndoa, wakati naolewa mume wangu alikua na rafiki yake wa kike ambaye wenyewe wanadai urafiki wao ni wa kawaida tu kwani wanajuana muda mrefu. sasa tatizo huu urafiki wao umekuwa kero kwangu yani ni ule urafiki uliopitiliza kiasi kwamba kilasiku nikiangalia kwenye cm ya Mr lazima nikute wamewasiliana hata mara 50 text ndo usiseme. Kila sehemu wanaenda wote na huyo binti yani kama kumbikumbi mimi niko chuo wakati mwingine nikiwa chuo nikirudi hom namkuta huyo binti na Mr sebuleni inamaana ana courage ya kuja kwangu mimi nikiwa sipo, mara nyingine weekend tuko nyumbani na Mr, binti anampigia Mr cm njoo nyumbani kwangu ule nimepika, mume naye kilasiku lazima aripoti nyumbani kwa binti, mara binti aje nyumbani kumpitia Mr amsindikize sehemu, wakati mwingine tumelala weekend asubuh saa 1 binti kapiga cm kwa mr unafanya nini amka twende kwa fulani {mshikaji wao} yani full tafrani hana adabu kabisa ila nilichogundua ni kua mr nae ndo anampa ujeuri coz kuna kipindi niligombana sana na huyu binti kuhusu tabia zake huwezi amini alinijibu kuwa mimi siwezi kuwatenganisha kamwe nikitaka nimwambie mume wangu ndio ampige yeye marufuku kua na ukaribu nae ila sio mimi. Jamani cm wanapigiana mpaka saa 6 usiku. wenyew wanadai wao ni marafiki wa kawaida tu na hakuna kinachoendelea. nimejaribu kuuvunja urafiki huo unaoniumiza nimeshindwa mimi wenyewe hawana hata habari. Je kuna urafiki wa aina hii kweli kati ya mwanamke na mwanaume tena mume wa mtu? kwanini kusiwe na mipaka jamani..Huyo mwanamke ni mjeuri hatari ukimwambia anakujibu kwa dharau sana, mume naye ndo kwanza hana habari nisaidieni jamani nifanyaje?
Nikikukuta mbinguni walahi naandamanaIko hivi..... Rafiki wa bf wangu aligeuka kuwa best friend wangu. Then ubest ukazaa feelings kali kweli kweli. Tukashindwa kujizuia, ikabidi nimuache bf niwe na rafiki yake[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Na hii ndio tabia inayonifanya nifanyege ziara za ghafla kwenye simu ya bebe!Iko hivi..... Rafiki wa bf wangu aligeuka kuwa best friend wangu. Then ubest ukazaa feelings kali kweli kweli. Tukashindwa kujizuia, ikabidi nimuache bf niwe na rafiki yake🙈🙈🙈🙈
Unamchomoa unamtupilia mbaliNikikukuta mbinguni walahi naandamana
Naomba nikazie hapa.Na wewe tafuta rafiki wa kiume na wewe uwe naye close hivyo hivyo!halafu uone na yeye atalichuliaje!
By the way mimi ni rafiki mzuri tu!
Vita yako ni ya kiroho zaidi Dada wewe unapambana physicallyNimekuwa mfuatiliaji wa mikasa ya watu humu leo na mimi nikaona nilete jambo langu linalonitesa kwa muda mrefu ili nijue nini cha kufanya. Mimi ni binti niko ndani ya ndoa, wakati naolewa mume wangu alikua na rafiki yake wa kike ambaye wenyewe wanadai urafiki wao ni wa kawaida tu kwani wanajuana muda mrefu. sasa tatizo huu urafiki wao umekuwa kero kwangu yani ni ule urafiki uliopitiliza kiasi kwamba kilasiku nikiangalia kwenye cm ya Mr lazima nikute wamewasiliana hata mara 50 text ndo usiseme. Kila sehemu wanaenda wote na huyo binti yani kama kumbikumbi mimi niko chuo wakati mwingine nikiwa chuo nikirudi hom namkuta huyo binti na Mr sebuleni inamaana ana courage ya kuja kwangu mimi nikiwa sipo, mara nyingine weekend tuko nyumbani na Mr, binti anampigia Mr cm njoo nyumbani kwangu ule nimepika, mume naye kilasiku lazima aripoti nyumbani kwa binti, mara binti aje nyumbani kumpitia Mr amsindikize sehemu, wakati mwingine tumelala weekend asubuh saa 1 binti kapiga cm kwa mr unafanya nini amka twende kwa fulani {mshikaji wao} yani full tafrani hana adabu kabisa ila nilichogundua ni kua mr nae ndo anampa ujeuri coz kuna kipindi niligombana sana na huyu binti kuhusu tabia zake huwezi amini alinijibu kuwa mimi siwezi kuwatenganisha kamwe nikitaka nimwambie mume wangu ndio ampige yeye marufuku kua na ukaribu nae ila sio mimi. Jamani cm wanapigiana mpaka saa 6 usiku. wenyew wanadai wao ni marafiki wa kawaida tu na hakuna kinachoendelea. nimejaribu kuuvunja urafiki huo unaoniumiza nimeshindwa mimi wenyewe hawana hata habari. Je kuna urafiki wa aina hii kweli kati ya mwanamke na mwanaume tena mume wa mtu? kwanini kusiwe na mipaka jamani..Huyo mwanamke ni mjeuri hatari ukimwambia anakujibu kwa dharau sana, mume naye ndo kwanza hana habari nisaidieni jamani nifanyaje?
Njoo nasisi tuwe marafiki maana huyo demu anakuchanganyaNimekuwa mfuatiliaji wa mikasa ya watu humu leo na mimi nikaona nilete jambo langu linalonitesa kwa muda mrefu ili nijue nini cha kufanya. Mimi ni binti niko ndani ya ndoa, wakati naolewa mume wangu alikua na rafiki yake wa kike ambaye wenyewe wanadai urafiki wao ni wa kawaida tu kwani wanajuana muda mrefu. sasa tatizo huu urafiki wao umekuwa kero kwangu yani ni ule urafiki uliopitiliza kiasi kwamba kilasiku nikiangalia kwenye cm ya Mr lazima nikute wamewasiliana hata mara 50 text ndo usiseme. Kila sehemu wanaenda wote na huyo binti yani kama kumbikumbi mimi niko chuo wakati mwingine nikiwa chuo nikirudi hom namkuta huyo binti na Mr sebuleni inamaana ana courage ya kuja kwangu mimi nikiwa sipo, mara nyingine weekend tuko nyumbani na Mr, binti anampigia Mr cm njoo nyumbani kwangu ule nimepika, mume naye kilasiku lazima aripoti nyumbani kwa binti, mara binti aje nyumbani kumpitia Mr amsindikize sehemu, wakati mwingine tumelala weekend asubuh saa 1 binti kapiga cm kwa mr unafanya nini amka twende kwa fulani {mshikaji wao} yani full tafrani hana adabu kabisa ila nilichogundua ni kua mr nae ndo anampa ujeuri coz kuna kipindi niligombana sana na huyu binti kuhusu tabia zake huwezi amini alinijibu kuwa mimi siwezi kuwatenganisha kamwe nikitaka nimwambie mume wangu ndio ampige yeye marufuku kua na ukaribu nae ila sio mimi. Jamani cm wanapigiana mpaka saa 6 usiku. wenyew wanadai wao ni marafiki wa kawaida tu na hakuna kinachoendelea. nimejaribu kuuvunja urafiki huo unaoniumiza nimeshindwa mimi wenyewe hawana hata habari. Je kuna urafiki wa aina hii kweli kati ya mwanamke na mwanaume tena mume wa mtu? kwanini kusiwe na mipaka jamani..Huyo mwanamke ni mjeuri hatari ukimwambia anakujibu kwa dharau sana, mume naye ndo kwanza hana habari nisaidieni jamani nifanyaje?
Sure..Kuvunja uhusiano wa watu ambao walianza kwenye urafiki ulioshiba ndo wakaja kuwa wapenzi ni shida..Mana wanakuwa wanaendana kwa vingi..Yeah ndio ukweli mzee baba, manzi hapendwi ila sasa afanyaje na yeye kapenda basi analalamika tu. Mwisho utafika atatulia tu ila haitakuwa anytime soon labda Geography iwatenganishe maana Biology ilishafeli. Hata manzi yangu alikuwa analalamika na kulia sana ila afanyeje sasa. But at last mambo yalitulia ila nae alikuja kunipiga mchaka mchaka sitamsahau yule mwanamke aisee!