Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,597
- 1,710
mbunge wa kigoma pia mchumi ndio kazi ya mbunge kuhoji na kukosoa sirikaliZitto amekuwa msemaji wa CAG...yaani kila tamko la CAG yeye ndio anakuwa mfafanuzi...shame !!
mbunge wa kigoma pia mchumi ndio kazi ya mbunge kuhoji na kukosoa sirikaliZitto amekuwa msemaji wa CAG...yaani kila tamko la CAG yeye ndio anakuwa mfafanuzi...shame !!
Usilete propoganda zako hapa. aombe radhi kwa lipi. Kwa taarifa yako si wote hawajui propoganada hizo za kutengeneza kuwaaminisha watu uongo. We need explanation about 1.5 tView attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.
Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.
Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.
1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.
2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.
3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"
Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.
Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.
Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.
Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa
Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu
Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Na Rais kamwambia CAG kuwa wakati anapeleka hiyo report ikulu angemwambia kuna upotevu huo alikuwa kumfukuza hata waziri husika
Bangi uliyovuta ya wapi mkuuView attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.
Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.
Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.
1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.
2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.
3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"
Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.
Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.
Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.
Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa
Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu
Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Alitaja majina Ila lako halimo.View attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.
Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.
Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.
1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.
2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.
3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"
Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.
Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.
Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.
Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa
Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu
Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Uzushi mwingine mkubwa ulihusu kusinyaa (negative growth) kwa uchumi wa Tanzania akitumia takwimu feki kinyume na sheria za nchi.....mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.
View attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.
Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.
Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.
1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.
2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.
3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"
Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.
Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.
Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.
Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa
Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu
Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea
KWA HISANI YA MTU WA TANZANI
Kweli kabisa mkuu, zitto huwa namkubali sana kwenye kujenga hoja, zitto kazisoma akili za watz, wanapenda vitu vya kuambiwa ata kama vya uongo, somo hili alilipata hasa katika ule walaka wa siri uliowatimua chadema, pamoja na mambo mazuri ndani ya walaka, watz hawakuusoma wakaishia kuambiwa msaliti, azomewe, abigwe mawe(mbeya) nk. Sasa kaamua kutafsiri uongo ripoti ya cag akijua wengi hawajaisoma na hawataisoma , aliwahi sema eti tozo la serikali kwenye ATM na m pesa , zitasababisha watu washindwe tuma au kutoa pesa.Mmeshaeleza hiyo 1.5 Trillion imetumika wapi na kivipi?
Jamaa ni mtaalamu wa kutumia data kudanganyaKweli kabisa mkuu, zitto huwa namkubali sana kwenye kujenga hoja, zitto kazisoma akili za watz, wanapenda vitu vya kuambiwa ata kama vya uongo, somo hili alilipata hasa katika ule walaka wa siri uliowatimua chadema, pamoja na mambo mazuri ndani ya walaka, watz hawakuusoma wakaishia kuambiwa msaliti, azomewe, abigwe mawe(mbeya) nk. Sasa kaamua kutafsiri uongo ripoti ya cag akijua wengi hawajaisoma na hawataisoma , aliwahi sema eti tozo la serikali kwenye ATM na m pesa , zitasababisha watu washindwe tuma au kutoa pesa.
Anaupotosha ukweli.Mtu aongee ukweli. halafu tena aombe radhi. hou utakuwa ni uenda wazimu.