Itakuwa Karithi huyo.....Pamoja na uzee wangu. Nami pia sipendi kuvaa Chupi. Ila naivaa kwa lazima, lakn siyo kwa hiari .
Yawezekana nina udugu nahuyo mtoto .......
Hivi hao wanaowakosoa watu kwa makabila Yao...je upande wa makabila Yao WAMEKAMILIKA KITABIA?.....
Viumbe mbona wazito?, HAKUNA BINADAMU MKAMILIFU, sisi wote tuna mapungufu yetu, TUVUMILIANE TU. KUKASHFIANA HAKUFAI. Kumbuka unayemkashfu leo ipo siku ATAKUFANYIA CHECKUP YA PUMBU/MBOO au ----...
Pole sana sangalala,
mungu akupe moyo wa imani, uvumilivu, matumaini,
na kikubwa zaidi akuondolee maumivu.
Nakupenda nipo pamoja nawe kwa imani, pole sana.
Thread hii imegusa kumoyo...
mwanaume mchoyo na mbahili msikie tu manake mmmh!.....
Nataman mwanaume mmoja ambaye ni member wa humu ndani aisome hii thread.
Manake ni mbahili sana. Anachochangia yeye ni juhudi za kwenye 6 kwa 6.
Ila naamini hata akisoma hatabadilika ksb mara nyingi ameambiwa...
Asante sana kwa elimu utupayo naamini wengi tunafaidika nayo.
SAMAHANI, HIVI INAFAA KWA MTU MWENYE NGOZI YENYE MAFUTA MENGI USONI,
KUPAKA UJI WA TUNDA HILI USONI ???. Jibu lako litani/tusaidia kupaka au kutokupaka usoni.
Napenda kula hili tunda ksb nimezaliwa na kukulia sehemu ambayo...
Asante,
je una vitabu au kitabu ulichotoa kinachohusiana na mambo ya chakula?, au tiba mbadala?,
na kama jibu ni ndiyo, je ki/vinapatikana duka gani la vitabu kwa hapa dar es salaam ?.
Asante mzizi mkavu, kwa elimu unayotupa,
binafsi nafaidika sana nayo.
Ubarikiwe zaid, na uishi miaka mingi yenye afya njema,
ili tuendelee kuipata elimu yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.