vicent tibaijuka
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 268
- 57
ni mara chache watoto wadogo kupatwa na ugonjwa huu. wataupata tu iwapo mishipa yao ya moyo (coronary arteies) zina hitilafu ya kuzaliwa (prinzmetal angina) ambayo husababisha mishipa hiyo kuwa ina inasinyaa (spasm). kuhusu tundu katika moyo, inategemea ni tundu gani, kuna mfano ASD,VSD, na patent ductus arterious n.k. hayo ni baadhi ya common matobo katika moyo, lakini kwa kweli hayasababishi heart attack!!Dr, asante sana kwa ujumbe wako huu. binafsi nina maswali mawili
je watoto wadogo wanaweza kupata matatizo haya ya moyo?
je haya matatizo yanahusiana vipi na moyo kuwa na tundu?