Recent content by nkwaru

  1. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

    Vyema kabisa tutafika Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    JamiiForums Tanzania kuhusishwa kwa ukame na maovu ya wanadamu.

    mwingine atasema kuwa dhambi ni kuharibu mazingira
  3. N

    JamiiForums Tanzania kuhusishwa kwa ukame na maovu ya wanadamu.

    WANAJAMVI MPO? Ukweli ni upi?, wasomi wanasema ni mabadiliko ya tabia ya nchi. mambo ya kiroho wanasema ni maovu kuzidi. binafsi mi naona yote yana impact sijui ww
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ajira za serikalini kwa uhakika zitafunguliwa lini?

    KImya kimetanda dah!!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Sakata la ajira mpya: Ni akili kumshauri msomi ajiajiri kulima na hana hiyo taaluma?

    Ushauri huu unafanya madogo wetu kutokuwa na motivation ya kusoma kwani kama wakimaliza chuo wanarudi kulima na kufuga tena kienyeji inaleta conflict of mind sana kukubaliana na hii hali anyway! maisha popote.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Sakata la ajira mpya: Ni akili kumshauri msomi ajiajiri kulima na hana hiyo taaluma?

    HESLB wanakata 15%
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ajira za serikalini kwa uhakika zitafunguliwa lini?

    naskia sayansi na hisabati wameula na wale wa vitenzi vikurupushi, mwenemtapa kingdom na wa a e i o u wao vp? pamoja na kada zingine kama afya ??
  8. N

    JamiiForums Tanzania Ajira zimefunguliwa?

    wakuu bado hakijaheleweka?
  9. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mti wa mlonge kwa kiingereza unaitwaje?

    Habari wakuu, Naomba kujua tafsiri ya mtu unaoitwa "MLONGE" kwa kiingereza na hata kibayolojia. Pia naomba kujua matumizi yake kwa binadamu. Ahsante.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Why south sudan is falling into civil war while it is a youngest country in the world??

    naona wameshindwa kujitawa now trump must Colonize them?!
  11. N

    JamiiForums Tanzania suala la kuvaliana nguo je ni halali??

    Hii tabia ya kuvaliana nguo KWA watu ambao si wana ndoa imekaaje? make mi naona si ustaarabu, achilia mbali uchoyo. nakaribisha mawazo.
Back
Top Bottom