Recent content by Nkissa

  1. Nkissa

    Dar es Salaam City in Photos

    Nchi ya waarabu, wahindi na weusi wachache wenye biashara kubwa na vigogo wasiowaaminifu.
  2. Nkissa

    Ulishawahi fikiria hili?

    ndefo kidemming
  3. Nkissa

    Nyumba ndogo mwisho kuanzia leo

    Msaranga Nyumba yako unayoiona ni kubwa ndiyo nyumba ndogo kwa mwenzio,kuwa mpole na fanya yako maana ukiamua kumfuatilia mkeo mwanzo mwisho utakufa siku moja hivyo mtizamo wako mimi naupinga 100% kwani nyumba ndogo ni dawa ya stress,...
  4. Nkissa

    Afia Nyumba ndogo Kinondoni.....Uongo una mwisho

    Kafa kishujaaaaa,usichonge sana huwezi kujua huko alifuata nini.Unaweza kukuta home mke ni kinanda kila siku anazua mapya halafu akae hapo afanye nini?kuslimishwa ni hiari ya mtu na kufa kila mtu atakufa haijalishi utafia wapi kifo ni kifo tuu(mwenzio akinyolewa wewe tia maji)
  5. Nkissa

    Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

    Acha ubwege,toka lini mwanaume akaingia ktk hedhi? labda hao ni wa kile choo cha tatu ( mashoga) ukisema hivyo nitakubaliana na wewe mimi sijawahi kuwa na hizo dalili na wala sitekgemei kuwa nazo.pumbafu
  6. Nkissa

    Dar es Salaam City in Photos

    New Dar es salaam., what about old Dar es salaam?
  7. Nkissa

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    Poleni sana mafisadi yaani bado huku dar wamefanya viwanja vimepanda bei kwa kujilimbikizia maekari ya kutosha na kuuza kwa bei wanayoitaka wee mabina uwe mfano wa kuigwa na wezi wenzio shenx
  8. Nkissa

    CHADEMA = CCM, fedha za Uswis? Ni kazi ya Zitto kutaja majina au vyombo vya usalama?

    Wanatuzingua tu hawa wajinga siasa kweli ni kama filamu ya kihindi nyimbo nyiingi mwisho mwizi na askari ni huyohuyo" tufikie mahali tukubaliane kwamba hakuna upinzani wa kweli tanzania kama hamuamini angalieni historia na ikifikia kipindi cha karibia na uchaguzi wale watu wenye umaarufu ktk...
  9. Nkissa

    Mademu wa siku hizi ombaomba mnooo!!!

    Ndo maana indi wanaume waliandamana na mabango yao yameandikwa mwanaume siyo atm machine. s
  10. Nkissa

    Mbunge bibi miaka 60, aolewa na kijana wa miaka 26

    Mwacheni dogo apumzike manake ndo zao vijana wanapenda kuserereka hawataki taabu mbona siyo huyo tuu,vijana wengi sana wameolewa na wamama wazee kwa ajili ya njaa na mavazi.
  11. Nkissa

    Eti jeneza la huyu linafunguliwa kwa rimoti

    Mbwembwe za watu wa Arachugaaaa wazee wa visasiiii mijiziiii na mitapeli nawaombea kwa Mungu awabadilishe
  12. Nkissa

    Nabii Flora wa Mbezi Beach

    huyo ndiye anayewaambia wanawake watajifungua bila uchungu? ni wazi kuwa Mungu alipotoa adhabu pale eden wakati wati ule wa Adam na Hawa akiwaambia kuwa mwanamke atazaa kwa uchungu wakati huo huo mwanamume atakula kwa jasho sasa huyu nabii anayeipinga amrki ya Mungu anatumwa na nani kama sii...
  13. Nkissa

    Dar es Salaam City in Photos

    Yaani hakuna hata moja la mtu wa ukoo wangu analimiliki umaskini ni mmbaya sana ila nitajitahidi kuchakachuwa :smile-big:
  14. Nkissa

    Ufafanuzi jamani manake hii ni aibu

    Jamaa ni mdogo kumri na ana mke na ilishatokea mother akala kichapo na huyo mke wa jamaa,najua kila mtu ana mtizamo wake ila kiukweli ikitokea kwako sijui utafanya vip.ila ipo siku nikimkuta huyo jamaa nadhani mgazeti ya udaku yataandika
Back
Top Bottom