Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Duh..........umenigusa mno

wiki iliyopita kuna siku kama nne mfululizo nilikuwa so down
na nilikuwa sitaki hata kupokea simu ya mtu for no good reason..

Yaani nilikuwa sina interest na chochote
ni kula kulala,tv na internet

hata kuzungumza niliona uvivu

kwa kuwa nilikuwa nina matibabu ya malaria nili connect na tiba hiyo
but nilikuwa najiuliza mbona huwa hainitokei hivyo mara zote ninapougua malaria???

Could it be..............?????????????????
Hahaaaa!
Mzee, Based on "The Boss's hypothesis; It is most likely ulikuwa menst.
 
hahahaa Mtambuzi kuna watu wanacoment kwa ghadhabu kweli hawa wako hedhi kwa vyovyote
 
Hata kama ni kweli ila hiyo 'mwanaume yuko hedhi' aseee haifai! Lazima kutakua na jina lake tofauti na hilo
 
Hawa jamaa watuondolee tafiti zao kishenzi na kishoga. Mbona wanataka kudhalilisha uume wa mwanamme. Hedhi na mwanamme ni mbingu na nchi,
 
Nenda shule. Wanaume na wanawake wanatofauti kubwa za kimaumbile kibaiolojia na hata seli, chembechembe ndogo za mwili ni mmiles apart
 
nilifanya research bila kambiwa na mtu nikagundua kuwa katika kila mwisho wa mwezi ama mwanzoni lazima nipatwe na hali ya kutaka kukutana kimwili na m/ke
 
kweli mimi huwa na hizo dalili kila baada ya tarehe 28 katika mwezi, hii inakwenda mpaka tarehe 30, nakuwa na hasira siku za mwazo siku ya pili huwa na fura na mchangamfu, nikafanya utafiti na kugudua inatokea kila mshahara unapochelewa na kuwa na hasira na ukishatoka huwa na furaha. kwahiyo inawezekana nakuwa na hedhi ya mshahara ee?

hahaha sasa iyo research yako itakua JUU ya viwango...visivyokubalika lol
 
Acha ubwege,toka lini mwanaume akaingia ktk hedhi? labda hao ni wa kile choo cha tatu ( mashoga) ukisema hivyo nitakubaliana na wewe mimi sijawahi kuwa na hizo dalili na wala sitekgemei kuwa nazo.pumbafu
 
Mtu hakiwa kwenye hedhi hawezi kupata au kupatisha mimba , kwa iyo mnataka kusema kuwa kuna siku3 kwa mwezi mme atashidwa kupatisha mimba? Je kama siku zake zikiwa zinagongana na za danger dates ya mke kwa iyo kuna ndoa hazitapata watoto kabisa?
Hii research inapingana na biolojia, hili swali niliulizwa na mtoto wa cdti ruaha ...nilimjibu tu kuwa mwalimu wenu mwambie akasome!!
 
Back
Top Bottom