Recent content by nkasime

  1. nkasime

    Polisi waagizwa kuwakamata wanaofunga ving’ora na vimulimuli kwenye magari

    Honi zile unadhani fuso kumbe bajaj[emoji1787][emoji1787]
  2. nkasime

    Mpapai na Gunzi vina uhusiano gani?

    Nilifata ushauri kwa kupiga msumari kwenye papai ambalo ni dume. Na matokeo nimeyaona limeanza kuweka maua. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. nkasime

    CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

    'Nina Boss wangu ameupata..' Vs `Ntakuwa nimeupata Bar..' Asante kwa mwelewa ujumbe umefika. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. nkasime

    Nataka kununua Continental decoder ushauri tafadhali

    Hamna kitu hapo utapata shida na hicho kisumbusi wanakuwa out of service na hawasemi chochote. Nenda StarTimes kama maisha ya kati au Dstv kabisa
  5. nkasime

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Kipimo cha uvumilivu wako ni wa hali ya juu..Uzuri mama yako yupo na Mungu amekujalia kipato Mchukue mtoto umpeleke huko. Mwanamke arudi kwao mpaka hapo moyo wako utakapoamua tofauti.Ila kwa sasa hampaswi kuwa karibu rejea maneno yako
  6. nkasime

    Iringa: Polisi wazuia mkutano wa Mbunge Mch. Peter Msigwa

    wamechukua hatua kwa hao wanaosadikika kutaka kuleta fujo siku ya tukio?
  7. nkasime

    Msaada: Unlock Halotel modem

    kaka mwenyewe napambana nayo kweli bado sijapata software ya ku unlock hiyo kitu
  8. nkasime

    Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

    Aya ya pili mstari wa kwanza mkuu.. Pia aya ya tano yote. Mbona hizi Aya zinakinzana?? Kwa ushauri tu utakufa kwa jaka moyo,tafuta maisha mengine.
  9. nkasime

    Vijana jifunzeni programming you wont regret it

    Kuna hii site pia itawasadia zaidi kwa maelezo na mazoezi tembelea www.w3schools.com Sent using Jamii Forums mobile app
  10. nkasime

    Naomba msaada wa mawasiliano ya NACTE

    Mkuu hivi unaweza kufanya yote hayo bila kulipa? Lakini the major concept here ni kuhusu NACTE kuweka contacts za kuwapata na wao kutopokea kabisa lengo ni nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. nkasime

    Naomba msaada wa mawasiliano ya NACTE

    Kuna taarifa nataka kuupdate ya vyeti sasa hawajatoa hiyo option kwenye system yao. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. nkasime

    Naomba msaada wa mawasiliano ya NACTE

    Hawapokei simu za mkononi walizoweka hadi landline,sasa nashangaa hizo simu wameweka kwa matumizi yapi mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. nkasime

    Naomba msaada wa mawasiliano ya NACTE

    Niko kwenye process ya kumfanyia mtu application ili aweze kuomba chuo kikuu kama NACTE walivyoagiza kwa watunwa equivalent,bahati mbaya nimekutana na technical problem,hivyo kwa mwenye mawasiliano na hawa jamaa naomba aweke hapa,maana contacts zao walizotoa naomba ni za mapambo hakuna hata moja...
  14. nkasime

    Leo huenda ikawa siyo siku nzuri kwa Rais wa TFF Malinzi kwani Mapacha hawa kuchukua Fomu rasmi

    Frank Wanjiru.. Kiongozi umeingia field nini? Ukitoka field naomba update kuhusu Mr President wa TFF
  15. nkasime

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    "Uandaaji wa chakula cha mifugo kwa njia ya hydroponics fodder",kuna mtu anaandaa hii kwa malisho ya kuku?kama yupo naomba atupatie uzoefu.
Back
Top Bottom