kwanza,hapo kwenye Bold,sijaandika popote maneno hayo ni wewe ume misinterpret.
Pili, Naheshimu mawazo yako ndo maana nikasema Uko sahihi kwa upande mmoja(partlty right) na hauko sahihi upande mwingine(partly wrong) lakini na wewe inabidi kuheshimu mawazo ya wengine kwenye forums maana tukisema tusijadili comment yako sijui kama forums zitakua na maana tena.
sentensi yako ulivoiweka ndo imenishangaza maana mimi nilitegemea useme PHP ndo lugha rahisi kwa watu kuanzia upande wa web development kwa urahisi wake sio tu wa kujifunza bali mpaka ku deploy project online ukilinganisha na lugha nyingine.
Kwa mtu kama wewe(mwenye formal education ya CS) nilitegemea uje na Guide kwa juniors wako na changamoto ulizokutana nazo na ulivoziepuka ila kinyume na matarajio yangu umekuja kivingine(kama kuwa discourage watu) pia hii inaweza kuwa hata opportunity kwako kuwa mentor watu hata kwa malipo kidogo ndo maana nkasema unaitaji maombi maana sikutegemea hiyo kauli kwa mtu kama wewe.
Lugha zote zinaweza kuwa ngumu ila Ugumu unaweza kutofautiana kulingana na learning curve na pia hata kulingana na level ya Project unayofanya au hata kuchagua lugha au Framework au Library ya lugha ambayo sio nzuri kwa project yako.
Vyuo vyenyewe havifundishi hata zile Top 10 programming languages kama sikosei, nimepitia baadhi ya prospectus za vyuo vingi unakuta ni C,Java,Visual Basic,PHP ambazo goal nafikiri nikumpatia mtu msingi na hii haimaanishi mtu hawezi jifunza Kotlin for android na akaichagua kuwa lugha yake kukamilisha projects zake au hii haimaanishi mtu hawezi jifunza Python na web frameworks zake kama Django au Flask kufanya web porjects zake.
All in all lazima uwe na maneno ya ku encourage watu,yes we know science haijawai kuwa rahisi ila wenye uwezo,juhudi na nidhamu watatoboa!