Recent content by nkakisali2

  1. nkakisali2

    Paschal Mayalla: Mwigulu Nchemba hakufurahia Majaliwa, Warioba na Pinda kushangiliwa kwenye mazishi ya Kardinali Pengo

    Paschal Mayala ana akili nyingi hii nchi sasahivi ukiwa na akili nyingi either ukae kimya au utofautiane na serikali na huwezi kua CCM kama unaakili labda ujitoe ufaham ndio utawezana nao
  2. nkakisali2

    Mke wangu kaacha ndoa yake kisa kazi

    Kiukweli maisha ya sasahivi utegemee mume tu mshahara wake ndio muendeshe maisha utapata msongo wa mawazo mahitaji ya mwanamke ni mengi Sana madogo madogo mengine ata hawezi kusema sasa hiyo hela yako haitoshi kama yeye ana uwezo wa kujitafutia vihela vyake Acha afanye kazi maisha ya sasa hivi...
  3. nkakisali2

    Taja ukweli mmoja mchungu kuhusu maisha ambao imebidi ukubaliane nao?

    1. Usiwe mwema Sana 2. Kutumia akili zaidi kuliko hisia 3. Kutafuta hela Sana hakuna namna utaishi comfortable bila hela
  4. nkakisali2

    Wanawake wenye akili na busara safi mnauonaje uongozi wa mwanamke mwenzenu?

    Inasikitisha kwenye uongozi wa mwanamke ndio mambo ya hovyo zaidi yametokea mwanamke mwenzetu katuangusha
  5. nkakisali2

    Dada wa MC Pilipili aweka bayana 'Mwili wa MC ulikutwa na majeraha mgongoni' Polisi yasema inaendelea na uchunguzi

    Mc pili pili alikua.mpole sana maskini ila mcheshi na muongeaji.pia alikua na tabia ya kuover share na maafisa usalama sasahivi ni wengi sana wapo Kila mahali pengine Kuna kitu aliongea wakamuwahi I don't know mana kifo chake kimekua cha ghafla mno kinafikirisha
  6. nkakisali2

    SWALI: Vijana waliokuwa wakikata vidole watu , kuua askari, kuiba mali na kuharibu mali na miundombinu ya umma wangetulizwa kwa fimbo?

    Nyie mtakua sio binadamu ni wanyama vp watu waliofatwa nyumbani kuuwawa mbele.ya watoto wao wengine wameuawa hawakua hata na wazo la maandamano wengine walitoka kupiga kura kwanini Rais atoe amri ya kuua watanzania wasio na hatia ni mama wa aina gani anafanya hivyo
  7. nkakisali2

    Natafuta makanisa ya zamani katika jimbo la Arusha

    Arusha ni Lutheran Kila dhehebu au dini Ina sehemu yake ambapo wamissionary walipita kama ukifatilia historia ya madhehebu utaelewa zaidi
  8. nkakisali2

    Kuelekea mwisho wa Mwezi: Uzi kwa wale wanaopenda kuweka Akiba (Kutoka kwa Experience Yangu)

    Inaitwa Money Manager Expenses and Budget, nzuri sana kwenye kutrack expenses
  9. nkakisali2

    Apartment mpya inauzwa Kariakoo, Bei ni TSh. 280 milioni

    Kuna nchi wao wananunua apartment tu mtu akitaka nyumba hamna mambo ya kununua kiwanja na kujenga naona imeanza kujaTanzania taratibu watu watazoea tu
  10. nkakisali2

    Hakuna raha tena ya sex kwa sababu ya fungus

    Kazana na mtindi Kila siku pata glass Moja kua mkavu mda wote na msafi usilale na chupi
  11. nkakisali2

    Hivi hili suala la kuhudumia ni la mwanaume tu au hata mwanamke wanapokuwa kwenye mahusiano au ndoa?

    Mwanamke ni msaidizi anaweza kusaidia unapokwama au vitu vidogo vidogo ila hela yake sio ya kuitegemea Wala kuiweka kwenye hesabu, ukiwa mwanaume sio kazi rahisi lazima upambane sisi pia tuna ya kwetu kuzaa na kulea sio michezo kwahiyo usione kama mwanamke anafaidi sana
Back
Top Bottom