Ni kawaida Mimi kabla sijaolewa nilikua nikiona mjamzito yupo rough namshangaa Sana nilivyopata mimba sasa kuna siku nilikua siogo kabisa tena hichi kipindi cha baridi sigusi maji na nilikua sitaki kusuka kabisa kidogo ninyoe kile kipindi Hali ikianza kubadilika mimba ilivyokomaa miezi mitano...
Mi nimeona kwa wazazi nyumbani mama ni mpambanaji faida anayopata Baba ni kubwa habebi mzigo wa familia peke yake mpaka huwa anasema Mungu kampendelea kwenye mke
Nikiwa Arusha kuna visehemu vizuri vzuri vya kupumzika najua sehemu kama tatu pale mjini kwa Dar sijaona open space ambayo hailipiwi labda kule Coco beach
Jamani hiyo ni stage katika ukuaji mtoto wa miezi Saba ni mdogo Sana inaweza kua anaota meno nakushauri usome mtandaoni kitu gani cha kutegemea kwenye kila mwezi kuanzia anavyozaliwa jua kila mwezi utegemee kitu gani mfano kule tick-tock kuna madaktari wengi wanaelezea hii stage ya kunyonya...
Paschal Mayala ana akili nyingi hii nchi sasahivi ukiwa na akili nyingi either ukae kimya au utofautiane na serikali na huwezi kua CCM kama unaakili labda ujitoe ufaham ndio utawezana nao
Kiukweli maisha ya sasahivi utegemee mume tu mshahara wake ndio muendeshe maisha utapata msongo wa mawazo mahitaji ya mwanamke ni mengi Sana madogo madogo mengine ata hawezi kusema sasa hiyo hela yako haitoshi kama yeye ana uwezo wa kujitafutia vihela vyake Acha afanye kazi maisha ya sasa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.