Recent content by nkakisali2

  1. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    Nikiwa Arusha kuna visehemu vizuri vzuri vya kupumzika najua sehemu kama tatu pale mjini kwa Dar sijaona open space ambayo hailipiwi labda kule Coco beach
  2. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    Jamani hiyo ni stage katika ukuaji mtoto wa miezi Saba ni mdogo Sana inaweza kua anaota meno nakushauri usome mtandaoni kitu gani cha kutegemea kwenye kila mwezi kuanzia anavyozaliwa jua kila mwezi utegemee kitu gani mfano kule tick-tock kuna madaktari wengi wanaelezea hii stage ya kunyonya...
  3. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayalla: Mwigulu Nchemba hakufurahia Majaliwa, Warioba na Pinda kushangiliwa kwenye mazishi ya Kardinali Pengo

    Paschal Mayala ana akili nyingi hii nchi sasahivi ukiwa na akili nyingi either ukae kimya au utofautiane na serikali na huwezi kua CCM kama unaakili labda ujitoe ufaham ndio utawezana nao
  4. nkakisali2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu kaacha ndoa yake kisa kazi

    Kiukweli maisha ya sasahivi utegemee mume tu mshahara wake ndio muendeshe maisha utapata msongo wa mawazo mahitaji ya mwanamke ni mengi Sana madogo madogo mengine ata hawezi kusema sasa hiyo hela yako haitoshi kama yeye ana uwezo wa kujitafutia vihela vyake Acha afanye kazi maisha ya sasa hivi...
  5. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Taja ukweli mmoja mchungu kuhusu maisha ambao imebidi ukubaliane nao?

    1. Usiwe mwema Sana 2. Kutumia akili zaidi kuliko hisia 3. Kutafuta hela Sana hakuna namna utaishi comfortable bila hela
  6. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenye akili na busara safi mnauonaje uongozi wa mwanamke mwenzenu?

    Inasikitisha kwenye uongozi wa mwanamke ndio mambo ya hovyo zaidi yametokea mwanamke mwenzetu katuangusha
  7. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Dada wa MC Pilipili aweka bayana 'Mwili wa MC ulikutwa na majeraha mgongoni' Polisi yasema inaendelea na uchunguzi

    Mc pili pili alikua.mpole sana maskini ila mcheshi na muongeaji.pia alikua na tabia ya kuover share na maafisa usalama sasahivi ni wengi sana wapo Kila mahali pengine Kuna kitu aliongea wakamuwahi I don't know mana kifo chake kimekua cha ghafla mno kinafikirisha
  8. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania SWALI: Vijana waliokuwa wakikata vidole watu , kuua askari, kuiba mali na kuharibu mali na miundombinu ya umma wangetulizwa kwa fimbo?

    Nyie mtakua sio binadamu ni wanyama vp watu waliofatwa nyumbani kuuwawa mbele.ya watoto wao wengine wameuawa hawakua hata na wazo la maandamano wengine walitoka kupiga kura kwanini Rais atoe amri ya kuua watanzania wasio na hatia ni mama wa aina gani anafanya hivyo
  9. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Natafuta makanisa ya zamani katika jimbo la Arusha

    Arusha ni Lutheran Kila dhehebu au dini Ina sehemu yake ambapo wamissionary walipita kama ukifatilia historia ya madhehebu utaelewa zaidi
  10. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Nina serious clients wanaohitaji huduma kukosa ofisi kumekuwa "red flag" inayonikosesha pesa naombeni msaada wadau

    We kaka utafika mbali usikate tamaa njia itapatikana
  11. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Kuelekea mwisho wa Mwezi: Uzi kwa wale wanaopenda kuweka Akiba (Kutoka kwa Experience Yangu)

    Inaitwa Money Manager Expenses and Budget, nzuri sana kwenye kutrack expenses
  12. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Kuelekea mwisho wa Mwezi: Uzi kwa wale wanaopenda kuweka Akiba (Kutoka kwa Experience Yangu)

    Naweza kutumia application badala ya daftari?
  13. nkakisali2

    JamiiForums Tanzania Apartment mpya inauzwa Kariakoo, Bei ni TSh. 280 milioni

    Kuna nchi wao wananunua apartment tu mtu akitaka nyumba hamna mambo ya kununua kiwanja na kujenga naona imeanza kujaTanzania taratibu watu watazoea tu
Back
Top Bottom