Nikiwa Arusha kuna visehemu vizuri vzuri vya kupumzika najua sehemu kama tatu pale mjini kwa Dar sijaona open space ambayo hailipiwi labda kule Coco beach
Jamani hiyo ni stage katika ukuaji mtoto wa miezi Saba ni mdogo Sana inaweza kua anaota meno nakushauri usome mtandaoni kitu gani cha kutegemea kwenye kila mwezi kuanzia anavyozaliwa jua kila mwezi utegemee kitu gani mfano kule tick-tock kuna madaktari wengi wanaelezea hii stage ya kunyonya...
Paschal Mayala ana akili nyingi hii nchi sasahivi ukiwa na akili nyingi either ukae kimya au utofautiane na serikali na huwezi kua CCM kama unaakili labda ujitoe ufaham ndio utawezana nao
Kiukweli maisha ya sasahivi utegemee mume tu mshahara wake ndio muendeshe maisha utapata msongo wa mawazo mahitaji ya mwanamke ni mengi Sana madogo madogo mengine ata hawezi kusema sasa hiyo hela yako haitoshi kama yeye ana uwezo wa kujitafutia vihela vyake Acha afanye kazi maisha ya sasa hivi...
Mc pili pili alikua.mpole sana maskini ila mcheshi na muongeaji.pia alikua na tabia ya kuover share na maafisa usalama sasahivi ni wengi sana wapo Kila mahali pengine Kuna kitu aliongea wakamuwahi I don't know mana kifo chake kimekua cha ghafla mno kinafikirisha
Nyie mtakua sio binadamu ni wanyama vp watu waliofatwa nyumbani kuuwawa mbele.ya watoto wao wengine wameuawa hawakua hata na wazo la maandamano wengine walitoka kupiga kura kwanini Rais atoe amri ya kuua watanzania wasio na hatia ni mama wa aina gani anafanya hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.