Paschal Mayala ana akili nyingi hii nchi sasahivi ukiwa na akili nyingi either ukae kimya au utofautiane na serikali na huwezi kua CCM kama unaakili labda ujitoe ufaham ndio utawezana nao
Kiukweli maisha ya sasahivi utegemee mume tu mshahara wake ndio muendeshe maisha utapata msongo wa mawazo mahitaji ya mwanamke ni mengi Sana madogo madogo mengine ata hawezi kusema sasa hiyo hela yako haitoshi kama yeye ana uwezo wa kujitafutia vihela vyake Acha afanye kazi maisha ya sasa hivi...
Mc pili pili alikua.mpole sana maskini ila mcheshi na muongeaji.pia alikua na tabia ya kuover share na maafisa usalama sasahivi ni wengi sana wapo Kila mahali pengine Kuna kitu aliongea wakamuwahi I don't know mana kifo chake kimekua cha ghafla mno kinafikirisha
Nyie mtakua sio binadamu ni wanyama vp watu waliofatwa nyumbani kuuwawa mbele.ya watoto wao wengine wameuawa hawakua hata na wazo la maandamano wengine walitoka kupiga kura kwanini Rais atoe amri ya kuua watanzania wasio na hatia ni mama wa aina gani anafanya hivyo
Mwanamke ni msaidizi anaweza kusaidia unapokwama au vitu vidogo vidogo ila hela yake sio ya kuitegemea Wala kuiweka kwenye hesabu, ukiwa mwanaume sio kazi rahisi lazima upambane sisi pia tuna ya kwetu kuzaa na kulea sio michezo kwahiyo usione kama mwanamke anafaidi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.