Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

Nenda hata kituo cha polisi chochote kilichokaribu na wewe ,utakayemkuta counter mwambie nimekuja kuwasalimia .
Ni hapo unaweza kupiga nao story mbili tatu hata kuwauliza wanapata muda wa kulala na hali ya uchumi wanaionaje kwa miaka hii ,hakika leo siku yako itakuwa amazing kiasi chake mkuu wangu
Kaka kwenda kusalimia police 🚓
 
Nikiwa Arusha kuna visehemu vizuri vzuri vya kupumzika najua sehemu kama tatu pale mjini kwa Dar sijaona open space ambayo hailipiwi labda kule Coco beach
 
1779045799729.png

1779045626800.png
 
Kwa Mkuu wa Mkoa pale IPO garden nzuri TU , ambayo ni open space na ni bure na hata pale maeneo ya Impala.
Pale Impala mchana hapakaliki, jua kali. Utakaaje kwenye vile vimbweta 😀

Hiyo ya kwa mkuu wa mkoa siijui. Ni upande upi? Wa kuelekea Mt. Meru Hosp, BOT au kurudi huku njia inayoshuka TTCL
 
Pimbi kweli wewe.
Kisa wewe huwatembelei marafiki zako ndo useme kizazi kimebadilika... Una matatizo ya akili wewe.

Hizo band fanya mipango uwe unapiga wewe.

Watu washindwe kufanya kazi za maisha yao, waende kula bata unaakili wewe?

Stresi zako za maisha usituletee hapa.
 
Tanga wanayo.. uwa wanakusanyika wanakula zao popcorn

Arusha ina sehemu kadhaa za kutulia ukiondoa bar

Wawekezaji wapo busy kujenga appartments wameona wabongo masuala ya sex wanapenda sana
Nahuzunika sana nikiona rais wetu anakosa sehemu sahihi ya kwenda kupumzisha akili 😥
 
Back
Top Bottom