Nijambo LA kusikitisha kuna sofa ya kumpata mkutugenzi wa halimashauri ya jiji ,manispaa na Wilaya ikiwa ni kuwa mwanaharakati ndani ya chama Tawala.Mie nimdogo sana lakini kwa uelewa wangu mdogo DED kimekuwa ni cheo ambacho MTU anapewa baada yakutumikia kwa muda ndani ya utumishi wa umma na...
Ifike mahali kama huna lakuchangia utulie, si kila kitu uchangie.Harafu kwakuzingatia kuwa humu wamo watu kwenye heshima zao iweje Leo unageneralize kuwa walimu ni mapoyoyo.Ninaomba mamlaka ya mawasiliano wakuchukulie hatua uungane na mwenzako aliye mkashifu Mh.Rais.Teaching is the mother of all...
Ninakubaliana na wewe Kwa asilimia 50 ya hoja zako hasa kuhusu tofauti iliyopo katika makato Kwa vile sasa asilimia 2 ile inaufanano na PAYE.Pili katika marekebisho ya katiba ya hivi karibuni haijatamka kiinua mgongo Kwa wastaafu Bali mkono Wa kwaheri Kwa mwanachama anayestaafu.Hata hivyo nami...
Tatizo kunawatu hawajui kuwa jamii forum ni njia mhimu yakupashana habari.Viongozi wakubwa hats Mkuu Wa nchi hawezi lala bila kupitia humu.Usilete hasira zako zinazotokana na kukosa nafasi UD kuwaaminisha watu kuwa UD ni so discriminative.
Kusema walimu ni mburura hiyo ni fallacy of generalization. Wewe kama ni mburura tafuta mburura wenzako nakumbuka walimu tuko makundi tofauti kuanzia mwalimu Wa awali hadi mhadhiri sasa wewe nakushangaa.Kama ulijiunga ualimu Kwa kulazimishwa either na ufaulu wako hafifu usitake kuna wote wako...
Tatizo lako ni uelewa, nimetolea mfano Wa kesi zinazo gharimikiwa na chama kama moja ya majukumu yake. Nikushauri tu kama umeshaanza kukatwa nenda office ya chama uonane na Katibu atakupa utaratibu kwingine vinginevyo ikiendelea kulalamika wala haikusaidii.
Mwalimu nikuombe tu kabla hayajakukuta usikiseme vibaya chama cha walimu kimsingi tuombe maboresho lakini usiseme hakifai.Walimu hasa mnaoanza kazi na hasa Kwa kuzingatia mnamaliza vyuo bado wabichi chama kimewanusuru wengi nusura wafukuzwe kazi na utumishi Kwa sababu yakupenda watoto Wa...
Mie nafikiri mwalimu hupaswi kulalamika.Watumishi wote ni wanachama Wa vyama vya wafanyakazi Kwa kada wanazohudumu either kwakuomba wenyewe au Kwa mjibu Wa sheria ya kazi na mamhusiano kazini.Hata hivyo wewe unafurahia wenzako wakatwe agency fee lakini chama kinapokomaa kutoka walimu wapate...
Ualimu hauhitaji wanyoa viduku lakini hata huko afya Nina wasiwasi na a in a yawatu wanaopelekwa ndiyo maana kesi za wahudumu kuwatukana manesi haziishi vijana hao wapelekwe course ya mortuary attendance huko watafiti
Naomba nikusahihishe mahesabu hayawezi kuwa edited badala yake yanakuwa audited.CWT kama zilivyo taasisi nyingine zinakaguliwa na internal auditors lakini tuchukue katiba ya CWT tuisome tuweze kujua mgawanyo Wa madaraka na kazi za viongozi na kamati ni zipi.Wewe kwenye kituo cha kazi kuna...
Hivi watanzania nani aliyeturoga, huyo mama kama nikula alishakula lakini kwangu naona alicheleweshwa kuondolewa alikuwa hana credibility yoyote zaidi yakuleta mipasho
Kwanini tunakuwa wakulaumu kiasi hiki.Hivi wote kwenye GPA kuwa mnataka mkafundishe vyuo halafu sector nyingine zichukue makapi? Tumeona tatizo LA ubovu Wa miundombinu kweli hili hakuna anayepingana nalo lakini ushauri Wa mini kifanyike ni kipimo cha usomi wetu.Binafsi nipo against na dhana...
Nasikitika sana ninapoona walimu tukilikimbia tatizo Kwa naona hiyo.Ebu tujishughulishe kusoma sheria za kazi na mahusiano kazi ni na trade union act tuweze kujua CWT IPO kisheria au LA.Mie nilikuwa kati ya walalamikaji naomba moja kuhusu CWT lakini nimeelimishwa nakujua kuwa CWT ndicho chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.