Kujitoa CWT na kujiunga CHAKAMWATA

Kujitoa CWT na kujiunga CHAKAMWATA

Kusema walimu ni mburura hiyo ni fallacy of generalization. Wewe kama ni mburura tafuta mburura wenzako nakumbuka walimu tuko makundi tofauti kuanzia mwalimu Wa awali hadi mhadhiri sasa wewe nakushangaa.Kama ulijiunga ualimu Kwa kulazimishwa either na ufaulu wako hafifu usitake kuna wote wako hivyo.You should learn to respect people's professions!
 
kianzishwe chama cha Walimu wa kutoka mbinguni pekee....... lakini eti wajitoe CWT!? Kuna tofauti gani kati kifuniko na kizibo?
Similarity between CHAKAMWATA and CWT
1.Vyote havipo kwa ajili ya kutetea maslahi ya walimu.

Differences between CHAKAMWATA and CWT
1.Chakamwata makato ni 1% CWT ni 2%
2.Chakamwata ukistaafu unapata 50% michango yako uliyochangia
CWT hupati kitu
 
Hivi kwanini CWT wanang'ang'ania kukata 2% wakati Wana vitega uchumi vya kutosha
 
CHAKAMWATA nimewafatilia YouTube, wapo vizuri si haba.
 
Hivi kwanini CWT wanang'ang'ania kukata 2% wakati Wana vitega uchumi vya kutosha
Kwasababu Walimu/Wafanyakazi ni mazuzu na hivyo wao CWT/TUCTA wanashirikiana na serikali kuwanyonya wafanyakazi na ndio maana unaona kuna wengine wameona CWT wanafaidi, wameamua na wao waanzishe CHAKAMWATA, Wengine TTN na wote wanataka tu kukata KIJIMSHAHARA cha MWALIMU.
 
Similarity between CHAKAMWATA and CWT
1.Vyote havipo kwa ajili ya kutetea maslahi ya walimu.

Differences between CHAKAMWATA and CWT
1.Chakamwata makato ni 1% CWT ni 2%
2.Chakamwata ukistaafu unapata 50% michango yako uliyochangia
CWT hupati kitu
tueleze namna ya kujiunga
 
Back
Top Bottom