Recent content by njundelekajo

  1. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Uandishi wa makala kwenye magazeti

    Wakati mwingine ubora au kinachoitwa udhaifu wa mwandishi husababishwa na mtazamo wa msomaji.Kwa mfano Shaniki wa Yanga ni mara chache sana kuona makala inayoisifia Simba haina makosa...Hivyo hivyo kwa mwanachama wa ccm anayesoma makala inayohusu Chadema
  2. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Twendendeni AFCON na singeli yetu.

    Yaaan mtu akijifanya hajaelewa mada alafu anabaki kukosoa grama kuliko mantiki ya muandishi anaboa zaidi.
  3. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Karibu act wazalendo,kwaheri chadema/ukawa

    Wiki iliyopita mmoja wa manguli wa siasa za upinzani Zanzibar ,na aliyekua katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharifu Hamad alihamia chama cha Act wazalendo . Maalim Seif alihamia chama hiko baada ya mahakama kumpa ushindi hasimu wake Prof Ibrahimu Haruna Lipumba na kuhitimisha...
  4. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Twendendeni AFCON na singeli yetu.

    Ni mwezi huu klabu ya Simba imefanikiwa kuingia robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika,timu ya taifa imekata tiketi ya kushiriki mashindano ya mataifa ya Afrika na bondia mtanzania Hassan Mwakinyo amemdunda bondia Sergio Eduardo Gonzalez nchini Kenya kwa Knockout(KO) round ya...
  5. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Ruge Mutahaba ametufundisha kujitafuta

    KIFO CHA RUGE MUTAHABA KITUFUNDISHE KUJITAFUTA. Mimi ni mmoja kati ya mamilioni ya watanzania waliofatilia kwa ukaribu sana mazishi ya aliyekua mkurugenzi wa uzalishaji wa vipindi wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba aliyefariki February 26,2019. Katika siku tano nilizofatilia mazishi yake...
  6. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Si dhambi tukiwa na aina yetu ya demokrasia!

    KWA NINI TUSIWE NA AINA YETU YA DEMOKRASIA? Tafsiri ya demokrasia kama ilivyotolewa na Abraham Lincoln kuwa ni utawala wa watu kwa ajili ya watu inaukakasi hasa kama watu wengi ni wajinga basi ni kuruhusu wajinga kuchaguana. Lakini demokrasia ikitafsiriwa kama uwepo wa uhuru wa watu ,haki za...
  7. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania UTANIKUMBUKA

    1.UTANIKUMBUKA 1, Nikazibeba dhihaka, kukusitiri na chuki. Nikaitwa jina paka ,na mengi sana matusi. Lawama nikajivika, nikazidisha juhudi. Umenisahau Leo, kesho utanikumbuka . 2. Kwa ahadi kemkem,wewe ndiwe mkombozi. Utaleta chemchem...
  8. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Law of Substitution na faida zake kwenye maisha

    "THE LAW OF SUBSTITUTION " Vyura sita walikua wanatembea kwa kuruka ruka kwenye gogo kubwa lililowekwa juu ya shimo lilichimbwa na binadamu.Bahati mbaya vyura wawili wakatumbukia kwenye shimo hilo refu lililoandaliwa kwa ajili ya kutengenezea choo. Vyura wa nne waliobaki wakasikitika sana na...
  9. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Ukiwa huna maono ya kisiasa utabeza hata viongozi wa Dini

    UKIWA HUNA MAONO YA KISIASA UTABEZA HATA VIONGOZI WA DINI Chama cha siasa ni muungano wa watu wanaotafuta mamlaka katika dola na hasa serikali kwa kusudi la kutekeleza shabaha za kisiasa au za kifalsafa pamoja na faida kwa ajili ya vikundi flani au zao binafsi. Ili kufikia lengo hilo la...
  10. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Mfikishieni Mwinyi Zahera

    Kenya Gormahia ligi ina mechezo 8.Tanzania mech 22 mpaka sasa....Taja wachezaji iliyotoa kuthibisha ubora wake. Tuna ligi maarufu sio bora
  11. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Mfikishieni Mwinyi Zahera

    So tafsiri yake ligi yetu imemtoa Hary Keane?
  12. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Mfikishieni Mwinyi Zahera

    MWAMBIENI MWINYI ZAHERA,KUFUNGWA KWA YANGA HAKUJATOKANA NA UCHOVU. Nimemsikia kocha wa Yanga Mkongomani Mwinyi Zahera akizungumza na waandishi wahabari 22 Januari ,2019 baada ya timu yake kufungwa magoli 3-2 na timu ya Kariobang Shork toka nchini Kenya kwenye mashindano yanayoendelea...
  13. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Tundu Antipas Lissu on BBC HARDtalk - 21 January 2019

    MAHOJIANO YA TUNDU LISSU BBC DHIDI YA DHANA KUHUSU UKWELI Januari 21 mwaka huu ,Mbunge wa Singida mashariki alihojiwa katika kipindi maarufu kinachorushwa na Shirika la habari la Uingereza BBC idhaa ya Kiingerezwa cha Hard Talk. Katika mahojiano hayo mbunge huyo aliyepigwa risasi September...
  14. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe anavyoteseka na kivuli cha Tundu Lissu

    0719755066
  15. njundelekajo

    JamiiForums Tanzania Ipo wapi ile bongofleva?

    IPO WAPI ILE BONGO FLEVA? Mpaka sasa mjadala mkali unaendelea kuhusu nani hasa aliyeupa jina la "bongo fleva"muziki wa kizazi kipya.Wengine wanamtaja mtangazaji mkongwe wa radio, Mike Mhagama kama mhasisi wa jina hili miaka ya tisini alipolitaja kwa mara ya kwanza. Lakini pia,lipo kundi...
Back
Top Bottom