Recent content by njiakuu2015

  1. N

    Edward Lowassa kutua kwa kishindo Dodoma leo, bunge lahaha

    Lowassa chaguo la wengi. Na tena kipenzi cha watu. Umefanya mengi tena mazuri sisi wananchi tunakukubali
  2. N

    Lowassa alitumia fedha za Kitilya kwenye kampeni 2015?

    Wewe umekuja maharage ya wapi.mbona unakurupuka na kutunga hadithi...kwani Kitilya ndio mshtakiwa pekee hapo???
  3. N

    Eunice Chiume, kwanini unapotosha wanachama wa NSSF?

    Mume wake ndio Chiume...yeye ni mtoto wa Janet Mbene na Augustine Mahiga waziri wa mambo ya nje
  4. N

    Lowassa anastahili kuheshimiwa na kuenziwa!

    MsemajiUkweli You are the one to get a life Kama unataka watu waachane na hoja zako ambazo hata si hoja JF unazileta as nini....? Get a life and leave Lowassa alone.
  5. N

    Lowassa hajawahi kukataliwa na CCM!!

    Hapo sasa. ...!
  6. N

    Sumaye: Nimekubali utendaji wa Rais Magufuli

    Anajipendekeza kifupi Aliyejioendekeza ni Rais aliyeenda kumuona hospitali amabapo Sumaye alishtukia tu Magufuli kwenda kumuona . Acha kujiropokea
  7. N

    UKAWA tafuteni njia nyingine ya kutokea, hii ya Zanzibar mnatudanganya

    Mleta mada acha ushabiki wa kisiasa kwenye maswala yanayohusu usalama as Raia. .. Ikitokea vurugu Zanzibar wataathirika kina mama ,watoto,wazee na hata wanaume na vijana bila kujali vyama vyao.... Na wengine hata hawana vyama
  8. N

    Mkakati wa Mafisadi kuwatumia UKAWA kuwaangusha Nape, Mwakyembe na Prof. Muhongo wakwama

    Mtoa mada mbaya Luongo na mzandiki Kwanza Lowassa hafadhiliwi na mtu yeye mwenyewe mfadhili
  9. N

    Magufuli arejesha Ikulu kuwa mahala PATAKATIFU

    Mango anahusika vipi???
  10. N

    Hongera Lowassa kwa kuiadabisha CCM

    Lowassa ni mfano wa kiongozi bora
  11. N

    CHADEMA, Lowassa apewe onyo mara moja

    Kwani uongo???
  12. N

    Nina wasiwasi wa Lowassa na Tundu Lissu

    Mleta mada kaishiwa
Back
Top Bottom