Sumaye: Nimekubali utendaji wa Rais Magufuli

Sumaye: Nimekubali utendaji wa Rais Magufuli

HUYO ANAJIPENDEKEZA TU.
Ili iweje? Kwa hiyo ikitokea mtu tusiyemtarajia kumsifia jpjm akasema ukweli kuhusu ubora wa kazi ya jpjm, lazima awe anajipoendekeza?? sumaye Atake nini toka kwa magufuli. Think again! think like a great thinker!
 
Kazi na kasi ya magufuli ni ya kupigiwa mfano. Anaonesha utendaji wenyetija na matumaini makubwa. Kikubwa anajali mali ya umma na anataka iwafae wananchi wote hasa masikini.
Asilegeze namba japo pia akikaza sana itakatika.big up JPM
 
Waziri mkuu mwenye rekodi ya kukaa madarakani Kwa kipindi cha miaka kumi na baadae kubatizwa jina la Mr zero na wafuasi wa Chadema, sasa ameibuka.

Sumaye ambae alihama ccm na kujiunga na chadema mwaka 2015 ,ameweka wazi kwamba Magufuli anaiga kila kitu kutoka chadema.
Msimamo huu umeenda kinyume kabisa na bavicha wengi ambao kila kukicha wanaponda utawala wa Rais Magufuli.

Sumaye licha ya kuzaliwa na kuzeekea ccm, alikihama chama hicho na kutangaza kuwa ccm haijafanya chochote Kwa miaka 50 !! . Maneno haya aliyatamka huku akijua yeye mwenyewe amezaliwa, akabalehe na baadae kuzeekea ndani ya ccm !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri mkuu mwenye rekodi ya kukaa madarakani Kwa kipindi cha miaka kumi na baadae kubatizwa jina la Mr zero na wafuasi wa Chadema, sasa ameibuka.

Sumaye ambae alihama ccm na kujiunga na chadema mwaka 2015 ,ameweka wazi kwamba Magufuli anaiga kila kitu kutoka chadema.
Msimamo huu umeenda kinyume kabisa na bavicha wengi ambao kila kukicha wanaponda utawala wa Rais Magufuli.

Sumaye licha ya kuzaliwa na kuzeekea ccm, alikihama chama hicho na kutangaza kuwa ccm haijafanya chochote Kwa miaka 50 !! . Maneno haya aliyatamka huku akijua yeye mwenyewe amezaliwa, akabalehe na baadae kuzeekea ndani ya ccm !!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni vizuri siku nyingine ukishajijua kuwa Wewe bado ni ' Mgeni / Njuka ' humu ' Jamvini ' JF kwanza uusome mchezo na siyo Kukurupuka. Huu ' uzi ' uliouleta leo umeshaletwa huku nadhani kama si miezi 4 au 6 iliyopita na Wewe tena leo umepita mule mule.

Karibu sana JF Maswa Ltd.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23] ati Mr Zero chadema bhana
 
[emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji20] [emoji20] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24] [emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom