Pole sana, naona kaskazini wanapanga safu yao, mzee mtei keshabarikiKama hadi leo hufahamu kuwa chadema ni chama cha kitaifa , sio kosa lako tatizo ni chama chako kukunyima elimu.
Na sisasa zako za maji taka. Pandu kificho wewe.
Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.
Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.
Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.
Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.
Mfano wa kauli za Lowassa;
Na nyingine nyingi zenye utata!
- "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
- "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
- "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
- "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"
Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??
Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.
Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.
Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.
Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.
Mfano wa kauli za Lowassa;
Na nyingine nyingi zenye utata!
- "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
- "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
- "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
- "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"
Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??
Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
Huyo ametumwa na naniAcha
acha hizo Lowasa apewe Onyo la nini? ww badala ya kuhangaikia kipato chako na familia yako unashinda kukariri kauli za Lowasa tu, huna cha kufanya? Chadema hawana shida na kauli hizo wali hazina Tatizo mda huu watu wapo busy kumuandaa katibu mkuu wa chama.
Ongeza na hili "nitawafukuza wabunge na madiwani wote mizigo "
kamanda watu wamestukia mchezo zamanii. hakuna cha nini wala nini ,watu wanatafuta fursa ya kupiga mahela tuu kwa kutumia migongo ya watanzania masikini na wale wapumbaf na malofa. huyu ni kati ya wale wanaojitambua kwa sasa. wamechoka na utapeliHawez kuwa, hadema huyu . Kada wa chadema anayejitambua Hawez andika hivyo .
mtachanganya nyinyi wenyewe lakini sinaasikia chama alikinunua
Ndoto njemaMnakumbuka shuka kumekucha shauri yenu kama hajafanya alichofanya mrema nccr mageuzi na tlp kutimua wale waliomkaribisha