CHADEMA, Lowassa apewe onyo mara moja

CHADEMA, Lowassa apewe onyo mara moja

True. Kujihakikishia kugombea urais 2020 ni kuiweka demokrasia ya chama mfukonj mwake...
 
Kama hadi leo hufahamu kuwa chadema ni chama cha kitaifa , sio kosa lako tatizo ni chama chako kukunyima elimu.

Na sisasa zako za maji taka. Pandu kificho wewe.
Pole sana, naona kaskazini wanapanga safu yao, mzee mtei keshabariki
 
Kwani ushasahau mara hii kuwa alikinunua jumla jumla na alikabidhiwa na risiti anayo, pia na 18% ya kodi alilipa.
 
CDM naamini sasa mmeanza kuuona upuuzi uliokataliwa na ccm eeeh? Basi bado upuuuzi mkubwa zaidi huo mdogo mbona subirini muda ndo jawabu la kila kitu.
 
lakini na wale mamea walisikika wakisema bila lowasa wasingefika pale walipo mkuu,nadhani kuna kidudu mtu amevamia UKAWA
Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.

Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.

Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.

Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.

Mfano wa kauli za Lowassa;
  1. "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
  2. "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
  3. "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
  4. "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"
Na nyingine nyingi zenye utata!

Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??

Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
 
Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.

Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.

Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.

Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.

Mfano wa kauli za Lowassa;
  1. "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
  2. "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
  3. "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
  4. "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"
Na nyingine nyingi zenye utata!

Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??

Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.



INAELEKEA MNAUMIA HATA LOWASSA AKIKOHOA TU.

HEBU TULIENI.
 
Acha

acha hizo Lowasa apewe Onyo la nini? ww badala ya kuhangaikia kipato chako na familia yako unashinda kukariri kauli za Lowasa tu, huna cha kufanya? Chadema hawana shida na kauli hizo wali hazina Tatizo mda huu watu wapo busy kumuandaa katibu mkuu wa chama.
Huyo ametumwa na nani
 
Na huyu mwingine anaposema 'Serikali ya Magufuli....' badala ya Serikaki ya Chama Cha Mapinduzi amewahi kuonywa na nani?
 
Umemsikia yeye anatamka hayo maneno au unaleta habari zenu za uchokonozi na ushambega usio kuwa na tija kwa wananchi. Kama "Ame" wewe inakuhusu nin na itakusaidia nini akisha fukuzwa? Fanya yako ya CDM wachie wenye CDM.
 
Ongeza na hili "nitawafukuza wabunge na madiwani wote mizigo "

Mengine mnayaongeza kwa maslahi yenu. Nilimsikiliza jana hii haikutoka mdomoni mwake. Alisema chama kitawafukuza uanachama
 
wewee kamanda acha kutoa mapovu! kwani hujui mzee alishakinunua chama? kwani haya malalamiko yanazungumwa kila siku kwamba chama kimeuzwa unadhani ni ya kutunga? ? khaa! !! chadema ni Lowasana bila Lowasa hakuna chadema. ingesha jifia kuleee. mhimili mkubwa wa chadema ulikuwa Dr Slaa tuu. ndie aliyekuwa walau amenyooka na itikadi. lakini hao wengine waliobakia ni walaji wapigaji na wafanya biashara zisizoeleweka. Mbowe alihamisha madolari sijui malaki mangapi kwenda ughaibuni kwenye akaunti zake huko. unajua zilikuwa zinafanya biashara gani. na marufuku kuulizia hizo pesa maana ni za mkubwa.!!!! wajinga ndio waliwao wewe bado umezubaa namna hiyo? ?? jiangalie mara mbilimboki
 
Hawez kuwa, hadema huyu . Kada wa chadema anayejitambua Hawez andika hivyo .
kamanda watu wamestukia mchezo zamanii. hakuna cha nini wala nini ,watu wanatafuta fursa ya kupiga mahela tuu kwa kutumia migongo ya watanzania masikini na wale wapumbaf na malofa. huyu ni kati ya wale wanaojitambua kwa sasa. wamechoka na utapeli
 

kamanda naona unalenga palpale. unasaidia kukumbusha watu walio na akili za kusahau! wanakalia ushabiki tu.
ukisikiliza hii clip,
-ukasikiliza clip ya Tundu lissu alivyomteuaga Lowasa kwenye List of shame
-ukasikiliza clip ya Mbowe alikuwa akisema Lowasa ni bubu ndani ya bunge na kuwa hafai kuwa kiongozi
-ukasikiliza clip ya Mchungaji msigwa anayosema' atakayemshabikia lowasa anatakiwa akapimwe akili' maana atakuwa lazima ni mwendawazimu
-ukasikiliza clip ya Dr Slaa kuhusu ufisadi wa Richmond
-ukapitia magazeti ya Kubenea tangu mwaka 2008 mpaka mapema mwaka jana 2015 yaliyokuwa yakimkashifu Lowasa na ufisadi
-ukasikiliza na hotuba ya mbunge wa Arumeru, wakati wa kampeni kipindi chake cha kwanza!
yaani hutakaa uiamini chadema na ukawa tenaaaaa! !. kama ni siasa tupa kule fanya mambo mengine.
 
NI NANI ANA UBAVU WA KUMPA ONYO LOWASA NA CHAMA CHAKE CHA CHADEMA. NANI? ?? MNAJUA KIMEMGHARIMU PESA NGAPI MPAKA CHAMA KUFIKIA HAPA KILIPO? ?. MNAJUA WAASISI WAMESHA LAMBA KIASI GANI ! NANI MWENYE NGUVU HIZO.
kamanda acha ndoto za mchana. uliza kwanza uambiwe. hivi hata mitandao nayo husomi
 
Ubinafsi
Uchu wa madaraka umemjaa sana huyu mzee

Eti tutawafukuza

Atawapeleka mbio sana mlikua hamjui eeeh
 
Back
Top Bottom