MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Kweli mzee Lowassa ni mvumilivu, sidhani kama viongozi wa ccm wanaweza
Jibu swali wacha kuruka ruka utaparamiwa saa ngapi?Njoo upate ghahawa achana na hiyo kazi unayoing'ang'a mwisho itakuletea madhara maana unaifanya muda mrefu ukiwa umeinama,sasa inaweza kukuletea aibu kama aliyoipata yule swahiba yetu
Pongezi za kipekee mh Edward Ngoyai Lowasa,rais kipenzi wa mioyo ya mamilioni ya watanzania kwa kuendelea kukaa kimya hata pale unapo dhihakiwa na viongozi hata wana chama wa ccm na mawakala wao,uamuzi wako umekuwa ni adhabu tosha kwa maadui zako ambao sasa wameamua kuajiri vijana kwenye mitandao mbali mbali ili kukukebehi na madharau mbali mbali,adhabu hii kwa ccm ni hatari kuliko kuwachapa bakora.
Hivi kati ya cdm na ccm nani kapoteza kwenye uchaguzi uliopita?kama uliingia angalau std one utakuja hapa na jibuMinafikiri tunajisahaulisha mapema ila kilamtu ktk tz alijuwa cdm ni tishio kwa sisiem pale ilipopiga viti vingi vya serikali za mitaa na na huu jamaa tulikuwa tunamwita fisadi chama kilikuwa kinatisha sasa sielewi mtoa pongezi anauelewa mchezo au.
Saaaana tu mkuu, tena bora angeteta nao kwa hili na lile ila kukaa kwake kimya ni zaidi ya adhabu.Mkuu Mmawia hakika una moyo wewe! Hata baada ya kipigo chote mlichopata unaona Lowasa anaiadabisha ccm?
hika adabu wewe, mwenzangu wammjia wewe, AU MNAKOSA MICHANGO YA KUELIMISHA JAMII MNABAMKI KUTUPIANA MITUSI TUU HUMU JF!!! KUWENI WAELEWA NA WAZALENDO BANA,Huyo mwenzio ndio baradhuli asiye na adabu kabisa
Unaonaeeeeee?kila uchaguzi mkuu ukifika lazima upinzani unaongeza viti kwenye himaya yake na hivyo viti vinatoka kwenye hesabu ya ccm,alafu leo utayasikia kuwa upinzani umekufaCcm wanafurahia wakipoteza,wanasahau bandu......bandu.....
Tunacho ongelea hapa ni adhabu ya lowasa kwa wana ccm,CCM wanaodaiwa kuadabishwa bado ni majority ndani ya bunge, wanao wapiga kura wengi ambao wanaweza kupitisha vifungu vingi vya sheria kadri ya matakwa yao. Na ikiwa JPM na serikali yake watapiga kazi kwa nguvu, sio ajabu hata baadhi ya majimbo yaliyochukuliwa na upinzani mwaka huu, wakakombolewa mwaka 2020. CCM wameshika mpini, na baadhi ya wabunge wenye maneno machafu huwakejeli wapinzani kwa kuwaambia kuwa wao ni watu wasio na majukumu kwa sababu ya uchache wao. UKAWA wameipata Dar wapige kazi ila wasijidanganye kwa kufikiri kuwa ndio wameshamaliza kazi. Wao ni minority bungeni.