Recent content by njellu

  1. njellu

    Binti huyu ametupanga wanaume kumi na moja

    ahaaaaaa ahaaaaaa!
  2. njellu

    Wananamziki Walio 'Hit' Kimagumashi

    Wewe jamaa umenyoosha maelezo kuliko kawaida,nimewahi kumsikia Grace Matata ni habari nyingine kabisa,ukija kwa Nuruely ni kweli pia,ukweli ni mmoja pia Wanamuziki wengi wanaojua wanachokifanya walishakataa kunyonywa siku nyingi,na kwasababu ya umungu wa Ruge kwenye Tasnia ya muziki wetu waBongo...
  3. njellu

    Niwafanye nini watu hawa?

    Kama ulichowaza ni kujivika K ni sawa pia,
  4. njellu

    Niwafanye nini watu hawa?

    Watu wanajaribu kujibu majibu rahisi kwa maswali magumu,hebu mnaomuona huyo binti hana adabu jaribuni kijivika viatu vyake kabla hamjasema chochote,na yeye ni binadamu.Hata mimi naona mzee yupo wrong ila kwa bahati mbaya tumekuzwa na fikra za kuamini kwamba mzazi hakosei.
  5. njellu

    Mtangazaji wa Zamadani-TBC

    Kuna kitu hakipo sawa kwa huyu jamaa,kuna habari za chini chini kuwa ni punga,tembeleeni Mbezi Makabe kwa Liperanya mtapata habari zake
  6. njellu

    Kwanini mambo huwaendea mrama wasanii wanao jitoa tip-top connections?

    Ni vitu vinavyokera kuona kwamba kuna baadhi ya watu wamekuwa mabepari wa wasanii,ukweli ni kwamba wanapoamua kujitoa kwenye hayo makundi,mabepari hayo huamua kufanya kila aina ya fitina na hila ili wasanii hao wasifike popote.Siku ambayo wasanii wataacha unafiki na kuamua kuungana kwa dhati...
  7. njellu

    Ibra Da Hustler ndani ya Sober House!

    Nilipata bahati ya kusikiliza wakati mama yake anaongelea hilo swala,jamaa alifikia hatua mbaya sana,hakuna mwanamke zaidi ya mama aisee amefanya kadri alivyoweza kuhakikisha Ibra anapelekwa Sober
  8. njellu

    Happy Birthday Mwana FA

    Kwenye muziki jamaa anaweza,ila kwenye swala la Uruge anaweza zaidi.
  9. njellu

    Wimbo mpya wa R.O.M.A,-2014

    Nipo kwenye boti yake,bahati mbaya sana au nzuri sana ni kwamba hamna hata watu wangu wa karibu waliowahi kukubali wasanii wa hip hop ninaowakubali,big up kwa ROMA,MAPACHA,FANANI,KALAPINA,SOLO na WATENGWA
  10. njellu

    Baba alitafutiwa mke

    Mimi nawasubiri tu waje waanze kuleta zegwe kwa laaziz wangu,potelea mbali bora na undugu wenyewe ufe
  11. njellu

    Wenye magari jihadhari na Camel-Oil Tabata Sanene

    Camel oil zote ni wahuni aiseem,niliwahi kuweka mafuta kwenye kituo chao cha mbezi chini karibu na rainbow bar,wakanipiga panga bwana,
  12. njellu

    Najiona nipo tofauti na wanawake wangine, ila i admire my personality!

    Ungenipata mm tungeendana sana,ndyo tatizo kubwa nililonalo kwenye mahusiano,nasema ni tatizo maana kuna wakati mpaka mpenzi wangu anakasirika,lkn nampenda and I want to know kila anachofanya
  13. njellu

    Joram Kihango vs Willy Gamba

    Kuna mtu anaweza kutoa msaada wa jinsi ya kupata hivyo vitabu,hususani hicho cha NJAMA
  14. njellu

    Nyie wenzangu huwa mnafanya nini? Nishaurini kabla sijaamua pumba.

    Mimi kiukweli mtu akiniambia sipaswi kugusa simu ya mpenzi wangu simuelewi,sijawahi kuficha,kuweka silent wala kuzima simu yangu nikiwa naye,kuwekeana mipaka kwenye kushika simu ni dalili za kusalitiana,Mkuu u have all the right kufanya ulichokifanya na labda imekuwa jambo zuri umegundua...
Back
Top Bottom