Wewe jamaa umenyoosha maelezo kuliko kawaida,nimewahi kumsikia Grace Matata ni habari nyingine kabisa,ukija kwa Nuruely ni kweli pia,ukweli ni mmoja pia Wanamuziki wengi wanaojua wanachokifanya walishakataa kunyonywa siku nyingi,na kwasababu ya umungu wa Ruge kwenye Tasnia ya muziki wetu waBongo...