NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,267
Huna haja ya kumtafuta jamaa, hizo picha uoizosave na account details fb sijui nini zote za nini? Msela yupo kwenye haki, yeye mwanaume kwa nini asiwe attracted kwa mwanamke unless ni shoga, sawa na wewe unavokua attracted kwa mwanamke,mau kwa mke wako kabla hamjaoana obviously ulikua attracted... swala linakuja kwa mwanamke wako na wewe, je umemkosea au kumnyima nini hadi akufanyie hivo, ni wife huyo, pili huyo mwanamke kajitambulisha kua she is married au kwingine inajulikana kua hata ndoa hamkuwahinfunga wala kukutana, ingekua mimi aisee wife angeniambia nimeoungukiwa nini, na siku hiyo angeniambia kwa nini hakuniambia nikitafute siku zote hadi akatafute kwingine, lazima nimlambe viboko, mwanamke chezea kote nionyeshe dharau nifanye hivi ntakuvumilia hata unitembeze uchi barabarani, we ni wife ntakuvumilia, ila kaguse mwanaume mwingine, hahaha nitakutandika fimbo siku hiyo utajuta kuolewa.. mura tatigha mura!!