dooh huu uzi leo umenifungia siku yangu vizuri, namshukulu mungu nimejiunga na mzee kwenye ufundi ko kidogo mambo si mabaya sana miez hii mi3 naumudu mtaa
CRDB no waizi na wanaiba sana pesa za wanafunzi me walinifanyia michezo yao yakipumbavu kilichobaki boom lilikia likiingia naenda kwa wakala natoa ela zote napeleka nmb
Nilicho kielewa hapo zinaongelewa tabia za kimasikini na sio kiwango cha pesa kwa maana hyo unaweza kua na pesa kidogo ukawa na tabia za kitajili vile vile unaweza kua na pesa nyingi ukawa na tabia za kimasikini kwahiyo msiumie sana wakuu jitafakari tabia zako zina kaa upande upi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.