Nyi mnasema tu jamani.
Bifasfi nimetongozwa na wanafunz Wa darasa langu.
Tena sisi walim vijana chipukizi tuna taabu sana.
Maana tunalingana nao maumbo
Habari zenu wana jamii.
Nilikuwa Naomba kupata msaada juu ya hiki kifaa cha power bank.
Nataka kununua power bank.lakini sijui sofa gani nizitumie ili kupata iliyo nzuri zaidi Kwa simu yangu
Wanajamii habarini za mida hii.
Mi naomba nipiwe elimu kidogo kuhusu hili, maana huwa sielewi inakuwaje.
Hivi hizi website na blogs, mmiliki wa blog au website husika anapo post picha au habari yoyote, je ananifaikaje?
Nikiwa na maana anawezaje kupata pesa kupitia hiyo habari alio post mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.