Anayedhani kuwa Zanzibar itavuka salama kwa hili basi anaota ndoto za mchana wa jua kali!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,766
36,626
Jana nilipata matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar ambao kimsingi CCM walijipikia na kujipakulia kisha wakala na kupongezana, uchaguzi huo eti CCM imejinyakulia majimbo yote ya uwakilishi Pemba na Unguja! Pia ikajinyakulia kata zote (wadi ) Pemba na Unguja! Kimsingi CCM ikashinda urais, uwakilishi na udiwani kwa asilimia 100 Zanzibar yote! Mbaya zaidi kuna muwakilishi wa CCM huko Pemba eti kashinda kwa kura 90. Huu ni uhuni!

CCM wanajidanganya sana na wanaota ndoto za mchana kweupeee!

Kuanzia leo Zanzibar inaweza kuingia katika historia za Tunisia, Misri, Syria na mataifa mengine! Shein atakuwa muhalifu wa kwanza wa kivita kutoka Tanzania kuitwa th Hague! Hilo liko wazi na halina hata chembe ya ubishi!

Yote kwa yote muda utasema kila kitu!
 
Jana nilipata matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar ambao kimsingi CCM walijipikia na kujipakulia kisha wakala na kupongezana, uchaguzi huo eti CCM imejinyakulia majimbo yote ya uwakili Pemba na Unguja! Pia ikajinyakulia kata zote (wadi ) Pemba na Unguja! Kimsingi CCM ikashinda urais, uwakilishi na udiwani kwa asilimia 100 Zanzibar yote!

CCM wanajidanganya sana na wanaota ndoto za mchana kweupeee!

Kuanzia leo Zanzibar inaweza kuingia katika historia za Tunisia, Misri Syria na mataifa mengine! Shein atakuwa muhalifu wa kwanza wa kivita kutoka Tanzania kuitwa th Hague! Hilo liko wazi na halina hata chembe ya ubishi!

Yote kwa yote muda utasema kila kitu!
Nadhani uwezo wako wa kufikiri ndo umekomea hapo, ebu tafakari sana hiyo mifano yako kabla ya kuibandika JF, kama unafikiri hiyo ndo njia sahihi ya kufanya basi washawishi hao ambao hawapendi kuishi wafanye hicho unachofikiri ni njia sahihi sana kutumia.
 
Nadhani uwezo wako wa kufikiri ndo umekomea hapo, ebu tafakari sana hiyo mifano yako kabla ya kuibandika JF, kama unafikiri hiyo ndo njia sahihi ya kufanya basi washawishi hao ambao hawapendi kuishi wafanye hicho unachofikiri ni njia sahihi sana kutumia.
Mbona wewe ndiyo unadhihhlisha ufinyu wa akili! Na siyo g sam. Matatizo ya shule kutokuwa na madawati ndiyo yamekufikisha hapo!

Kwa taarifa yako, kujisifia kwa ubabe na mauaji kumewafanya watawala wengi kuondolewa madarakani kwa aibu na kuuwawa kwa aibu. Msome samuel doe, muamar ghadafi, sadam hussein, gbagbo, na kadhalika.

Uaskari ni silaha, na silaha ni bidhaa, na bidhaa inauzwa kwa pesa au vitu, na kwa hiyo ni kiasi cha kununua na kushika silaha tu basi, na huo ndiyo utakuwa mwisho wa kuona washa washa barabarani na ndiyo utakuwa mwisho wa vyeo vyote! Utamuamuru nani?! Wewe wadanganye tu!
 
Basi hapo machafuko wanayatengeneza wenyewe wanasiasa huko zanzibar

Baadae wakianza kuchinjana huko raia watasema kuwa tatizo ni uislam kwa kuwa tuh wengi wa watu wa huko ni waislam

Badala ya kujadili mzizi wa fitna na chanzo cha huo mgogoro utaskia ugaidi...

Ugaidi huo sometimes unatengenezwa na hawa hawa wanasiasa
 
Basi hapo machafuko wanayatengeneza wenyewe wanasiasa huko zanzibar

Baadae wakianza kuchinjana huko raia watasema kuwa tatizo ni uislam kwa kuwa tuh wengi wa watu wa huko ni waislam

Badala ya kujadili mzizi wa fitna na chanzo cha huo mgogoro utaskia ugaidi...

Ugaidi huo sometimes unatengenezwa na hawa hawa wanasiasa
Malizia kusema wanasiasa wa ccm
 
Basi hapo machafuko wanayatengeneza wenyewe wanasiasa huko zanzibar

Baadae wakianza kuchinjana huko raia watasema kuwa tatizo ni uislam kwa kuwa tuh wengi wa watu wa huko ni waislam

Badala ya kujadili mzizi wa fitna na chanzo cha huo mgogoro utaskia ugaidi...

Ugaidi huo sometimes unatengenezwa na hawa hawa wanasiasa
Big up umenena fact
 
Basi hapo machafuko wanayatengeneza wenyewe wanasiasa huko zanzibar

Baadae wakianza kuchinjana huko raia watasema kuwa tatizo ni uislam kwa kuwa tuh wengi wa watu wa huko ni waislam

Badala ya kujadili mzizi wa fitna na chanzo cha huo mgogoro utaskia ugaidi...

Ugaidi huo sometimes unatengenezwa na hawa hawa wanasiasa
Una akili sana mtu wangu
 
Basi hapo machafuko wanayatengeneza wenyewe wanasiasa huko zanzibar

Baadae wakianza kuchinjana huko raia watasema kuwa tatizo ni uislam kwa kuwa tuh wengi wa watu wa huko ni waislam

Badala ya kujadili mzizi wa fitna na chanzo cha huo mgogoro utaskia ugaidi...

Ugaidi huo sometimes unatengenezwa na hawa hawa wanasiasa
99% ya wanasiasa ndo chanzo cha ugaidi wala hakuna mwanasiasa wa kutetea wanachi zaidi ya kujali kwanza maslah yao
Hili ni maslah dunia yanatafutwa
 
Jana nilipata matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar ambao kimsingi CCM walijipikia na kujipakulia kisha wakala na kupongezana, uchaguzi huo eti CCM imejinyakulia majimbo yote ya uwakilishi Pemba na Unguja! Pia ikajinyakulia kata zote (wadi ) Pemba na Unguja! Kimsingi CCM ikashinda urais, uwakilishi na udiwani kwa asilimia 100 Zanzibar yote! Mbaya zaidi kuna uwakilishi wa CCM huko Pemba eti kashinda kwa kura 90. Huu ni uhuni!

CCM wanajidanganya sana na wanaota ndoto za mchana kweupeee!

Kuanzia leo Zanzibar inaweza kuingia katika historia za Tunisia, Misri Syria na mataifa mengine! Shein atakuwa muhalifu wa kwanza wa kivita kutoka Tanzania kuitwa th Hague! Hilo liko wazi na halina hata chembe ya ubishi!

Yote kwa yote muda utasema kila kitu!
Wewe unayedhani kwamba Zanzibar itakuwa Syria unaota ndoto ya saa ngapi?
 
Nadhani uwezo wako wa kufikiri ndo umekomea hapo, ebu tafakari sana hiyo mifano yako kabla ya kuibandika JF, kama unafikiri hiyo ndo njia sahihi ya kufanya basi washawishi hao ambao hawapendi kuishi wafanye hicho unachofikiri ni njia sahihi sana kutumia.
Huyu mleta mada ni bingwa wa ramli.
 
Msidanganyike jamani...ZANZIBAR hayo ya the heague hayapo kwasababu hata hao wanaoshabikia na kupenda ushindi wa CCM ni wengi saaana sasa hayo maandamano yatafanyika baharini????
 
Nadhani uwezo wako wa kufikiri ndo umekomea hapo, ebu tafakari sana hiyo mifano yako kabla ya kuibandika JF, kama unafikiri hiyo ndo njia sahihi ya kufanya basi washawishi hao ambao hawapendi kuishi wafanye hicho unachofikiri ni njia sahihi sana kutumia.
Kuna watu hawajielewi, kufananisha yaliyotokea Tunisia etc. kwamba yatatokea ZNZ ni kujidanganya. Kumbuka Zanzibar siyo nchi na hawana jeshi. Amiri jeshi mkuu ni JPM. Mkuu wa mkoa wa Dar ni Zaidi ya Dr Shein. Anaongoza watu 6ml. Kumbuka uasi wa 2001 ulitokea Pemba pekee yake Unguja walikaa kimya na huwezi fananisha machafuko ya pemba na Tunisia. Unguja hakuna hatari yoyote. Kwa hiyo wapemba eleweni kwamba Seif kawaingiza chaka, mmekosa kila kitu. Mlaumuni Maalim kwa kuwanyima Uwakilishi na udiwani. R.I.P CUF.
 
99% ya wanasiasa ndo chanzo cha ugaidi wala hakuna mwanasiasa wa kutetea wanachi zaidi ya kujali kwanza maslah yao
Hili ni maslah dunia yanatafutwa
Unataka kunambia ni yale mafuta yalogundulika Pemba watu wanataka kwenda kuyaiba nini??? huku mnapigana watu wananyonya mkishtuka kweupeeeeeeeeee, baada ya muda utasikia taifa flani linajitangaza lina mafuta ya kutumia hata miaka 100 lol
 
Nazan tatizo ni ccm kuitwa chama cha mapinduz kinapindua walio shinda

G.sam, TAFADHALI SANA WAAMBIE UKAWA WAPIGE KURA ZA WAZI KWENYE UMEYA DAR ES SALAAM. WASIFANYE MAKOSA. NAOMBA WAPIGIE SIMU SASA HIVI UWAAMBIE. VINGINEVYO WATAKUJA KUJUTA.
 
Back
Top Bottom