Jamani ndugu zangu wataalamu wa sheria kuna mtu nilimkopesha milioni moja na tukaandikiana kuwa baada ya miezi 2 atatudisha milioni moja na laki tatu saivi ni miez minne mnisaidie nifanyeje kisheria ili nipate ata iyo milion moja yangu aksanteni
Unafikiri wake zetu watu wa mara hawatuachi kwann ata kama tunawadunda ngumi....kitu safi iliyokatwa chini mti tena asbuiiiii mbele ya watu.... wewe mrisya katoe ganda husiwe wa kumenya ndizi kila saaaaa
Oyombe hakuwa na shule na wala siyo siyo mfanyabihashara kama wenzake utamsikia wap kama siyo kulima afu ubunge alipata kwa bahat bahat tu na alifanya 0 rorya akaua na kiwanda cha Utegi .....aishie mbali uyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.