Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Jana nilipanda gari (costa) kutokea mbeya mjini kwenda tunduma,nilikaa jirani na jamaa wawili ambao hawakulipa nauli kwa sababu walikuwa members.
Tukikaribia kufika mwisho wa safari,abiria wakiwa wamepungua jamaa wakawa huru zaidi kufanya mazungumzo yao.
Mmoja wao,katika namna ya kujisifia sana akamuelezea mwenzake mkakati wake wa kuleta gari bomba sana la abiria kwenye route hiyo,kwamba anaagiza bord la gari pamoja na chasis kutoka china,aina ya magari ya kichina ambayo yapo dar route za kimara posta,gongo la mboto posta n.k made from china.Kisha anaweka injini ya scania,anasema "litakuwa linadhauliwa machoni kwamba ni la kichina halikimbii lakini watakiona cha moto,sababu litakuwa linakatiza fyuuuu.
Nilisikitika sana,nikamuomba Mungu anisaidie busara,katika harakati zangu za kibiashara nisije nikajisahau na kujikuta nafukuzana na faida bila kujali hatari nitakayokuwa nawasababishia wateja wangu.
Serikali au specifically agent husika wa usimamizi wa vyombo vya usafiri pamoja na sheria husika,waangalie uwezekano wa kutoa leseni kwa magari yatakayopaswa ama kuingia nchini au kufanya biashara ya ubebaji abiria,yawe kutoka kwa authorized producers/makers of motor vehicles,sababu naamini kabisa magari na vyombo vingine vya usafiri vinavyotengenezwa kwa kuunga unga tena na watu wasiokuwa na uelewa wa kisayansi wa nguvu mbalimbali zinahusika katika vyombo husika ni chanzo kikubwa sana cha ajari,sidhani kama hawa waungajiungaji wanatambua uwepo wa nguvu za upepo,uzito wa gari,speed,friction,matairi n.k na namna nguvu hizo zinavyointeract wakati gari likiwa barabarani.
Yaani unakuta bord la kichina,chasis ni mchanganyiko wa mti wa mninga na vyuma mbalimbali,injini ya scania,nini sijui vya landrover,ni mchanganyiko hatarishi sana,ukizingatia asikari ambao ndio wadau pekee ambao huwa nawaona wakizugazuga mabarabarani kusimamia usalama ni watu wenye uelewa mdogo sana hata wa usalama wao wenyewe.
Au na usimamizi wa hili ubinafsishwe?
Tukikaribia kufika mwisho wa safari,abiria wakiwa wamepungua jamaa wakawa huru zaidi kufanya mazungumzo yao.
Mmoja wao,katika namna ya kujisifia sana akamuelezea mwenzake mkakati wake wa kuleta gari bomba sana la abiria kwenye route hiyo,kwamba anaagiza bord la gari pamoja na chasis kutoka china,aina ya magari ya kichina ambayo yapo dar route za kimara posta,gongo la mboto posta n.k made from china.Kisha anaweka injini ya scania,anasema "litakuwa linadhauliwa machoni kwamba ni la kichina halikimbii lakini watakiona cha moto,sababu litakuwa linakatiza fyuuuu.
Nilisikitika sana,nikamuomba Mungu anisaidie busara,katika harakati zangu za kibiashara nisije nikajisahau na kujikuta nafukuzana na faida bila kujali hatari nitakayokuwa nawasababishia wateja wangu.
Serikali au specifically agent husika wa usimamizi wa vyombo vya usafiri pamoja na sheria husika,waangalie uwezekano wa kutoa leseni kwa magari yatakayopaswa ama kuingia nchini au kufanya biashara ya ubebaji abiria,yawe kutoka kwa authorized producers/makers of motor vehicles,sababu naamini kabisa magari na vyombo vingine vya usafiri vinavyotengenezwa kwa kuunga unga tena na watu wasiokuwa na uelewa wa kisayansi wa nguvu mbalimbali zinahusika katika vyombo husika ni chanzo kikubwa sana cha ajari,sidhani kama hawa waungajiungaji wanatambua uwepo wa nguvu za upepo,uzito wa gari,speed,friction,matairi n.k na namna nguvu hizo zinavyointeract wakati gari likiwa barabarani.
Yaani unakuta bord la kichina,chasis ni mchanganyiko wa mti wa mninga na vyuma mbalimbali,injini ya scania,nini sijui vya landrover,ni mchanganyiko hatarishi sana,ukizingatia asikari ambao ndio wadau pekee ambao huwa nawaona wakizugazuga mabarabarani kusimamia usalama ni watu wenye uelewa mdogo sana hata wa usalama wao wenyewe.
Au na usimamizi wa hili ubinafsishwe?