Ndio mawazo yangu kwa kweli,ilitakiwa aitushe kikao cha dharula cha balaza la mawaziri,pamoja na Spika ili wasutane,wachambane mpka hamu yao iishe kisha ,warudi kuwaachia TRA kuja kuwaelimisha wananchi juu ya mikopo yenye riba na isiyo na riba na nini manufaa ya hiyo mikopo,
kuliko kila mmoja...
Kosa anaenda kulifanya Mama ni kufanya mabadiko na kuwaweka kando anao dai wana stress ya 2025..hili kundi linaenda kukua sana linaenda kupambana kiukweli kuliko hata walivyo kuwa ndani ya serkali..
Mama angawaacha na kuwaita kwa pamoja kuonya bila wananchi kujua..
NDUGU Waziri wa Maji, tunajua kazi yako ilivyo tukuka sana tangia Baba Magu hata Mama Samia,na sisi wote ni Mashahidi.na nichelee kusema unajenga heshima kubwa sana kwa mama SAMIA kwa kazi yako nzuri.
Ndio tunajua hali sio nzuri sana MAJI KWA KIPINDI HIKI, haswa Ruvu chini kutokana na chanzo...
Mgombea Urais wa Marekani Donald Trump amesema amenusa viashiria vya mchezo mchafu (udanganyifu) kwenye matokeo ya uchaguzi yanayoendelea kutangazwa na kusema licha ya kwamba matokeo ya mwisho ya jumla hayajatoka yeye tayari ni Mshindi.
"Kuna udanganyifu, hii ni aibu kwa Marekani, naenda...
Nimekuwa nikijiuliza hapa hivi nikiandamana ni kwaajili ya Mbowe na Genge lake wapate Mihela na mikuku, mm nafaidikaje hapo baada maadamano?
Sasa mara pa mguu wangu au mkono he watakuja Mwimbili maana ugomvi na vyombo vya Dolla sio wa mchezo.

Mtazamo wa msomaji


China yataka uchaguzi wa Tanzania kutoingiliwa
habarileo.co.tz10/22/2020

SERIKALI ya China imesisitiza msimamo wa nchi hiyo na kuyataka mataifa mengine kutoingilia masuala ya ndani ya nchi mbalimbali duniani, ikisema Tanzania ina uwezo mkubwa wa kusimamia...
Wananchi wameamua pakubwa sana ,wakaona wafanye juu chini waongeze nguvu ya maombi na upako mjengoni maana kusutana na vijembe viitawala sana Bunge lilopita.
Watanzania walimtegemea na Mch Msigwa naye akawa bize kujenga chama akasahau kiliombea Mbunge, wananchi wakaona walifanya makosa makubwa...
Tumewasoma ngoja tufanyie kazi ila hata jana na leo nimeambiwa ile issue ya unyanyasaji inaendelea lakini mbona vyombo husika haviendi fanyia kazi malalamiko ya wananchi au mpka mtu atolewe koo jaman ,wafike pale kama wateja wajiandae.
Kilichowakuta wafanya biashara na wachuuzi wa CEMENT pale DEPOT ya Ubungo, kimenikumbusha enzi za UKOLONI kabisa.
Kisa chenyewe kiko hivi: Wajasili ya mali ,wachuuzi na wasakatonge kwa njia ya Uuzaji wa cement wamefika pale DEPOT kuanzia saa 9 alfajiri wakiwa na lengo la kuwahi namba ili wapate...
Hii ndo tafsiri ya CHADEMA kuwekeza katika maendeleo ya watu na sio Vitu:-
1. Kuuza ndege zote zilizonunuliwa na Magufuli.
2. Kusitisha Ujenzi wa Mradi wa SGR
3. Kusitisha Ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Rufiji
4. Kuruhusu Uvuvi haramu.
5. Kuruhusu Uchungaji wa Mifugo kwenye hifadhi.
6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.