NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,208
- 2,000
Sasa unahoji mafuta ya nini wakati ukioa mahari unaenda kudrow account ya serikali na mshahara kwa jobless upo.Hakuna aliyeruhusiwa kuhoji mapato ya mafuta, alijimilikisha mapato yote yeye na familia yake na rais walipewa misaada kidogo kama hivyo wengi wanavyosifia.
Walitaka Roho yake tu.