Recent content by ni leo tu kesho sipo

  1. N

    Kamati Kuu CCM na Tano Bora Urais: Wanne Wanajulikana, Mgombea Wa Tano Bado Kitendawili

    Mm sijaona cha ajabu kwani kwenye hiyo video ni %2 tu walio pinga . Ila wengi waliomuunga mkono ila upinzani pia huwezi ukakubalika na kila mtu.
  2. N

    Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

    Kitu ambacho kila mara najifunza hapa ni uelewa mdogo wa kufikiria tu. Kisa kafanya mr almasi ni wangapi wameowa na kuolewa nje ya nchi hii na pengine nje ya bara hili? Kingine kwa swala la makombo hata yeye anakula hayo na si yeye tu kila mtu kayapitia hayo.
  3. N

    Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

    Mm nashangaa sana kwani team ikichukuwa kombe la Tanzania bara na atakae chukuwa kombe la clabu bingwa bara Africa team ipi inaheshimika? Majibu mmnayo wenyewe.
  4. N

    Ni sahihi kujenga kwenye kiwanja cha mkeo?

    Kama kuna watu hawana zamana duniani basi mwanamke ni moja wao mwanamke hazaminiki. Lugha nyingine wanaitwa geuza mwendo hawakawiagi kubadili mwendo.
  5. N

    Riwaya: Tutarudi na roho zetu?

    Kijana unaonekana hauko nyuma sana kwa vitabu vya zamani. Mm nina hazina hiyo. Nina will gamba. Almasi mwadui, silaha zilizo potea, will gamba. Vingine ni allani quaterman mashimo ya Mfaume suleiman , kuindea inch isiyo julikana. Elf lela ulela na mikasa saba. Karibuni kwenye library yangu ya...
  6. N

    Aulizwa aliponyolea nywele za siri

    Amwambie saloon ndiyo sehemu husika
  7. N

    Pinda kutangaza nia kesho live kupitia ITV

    Mwaka huu tutaona mambo.
  8. N

    Nani anawapa hawa jamaa vifaa !?

    Wananunua kwa sheria za umoja wa kimataifa wauza siraha kote duniani hawana mipaka ya nani wanaamuuzi cha msingi kikundi chako au taasisi itambulike tu. Tena wanakuletea kwa ninavyo jua mm.
  9. N

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha

    Nimeipenda hii kwani jamaa hajamponda mtu kasema yake tu na atakacho fanya kaonyesha ukomavu.
  10. N

    CCM vipi kila mtangaza nia ana sera yake?!

    Kibaya zaidi ni kupondana tu sijui hawajui wafanyaro
  11. N

    Kutoka ukumbi wa BoT Mwanza: Wassira atangaza nia kugombea Urais

    Huwezi kumwaga maneno mzuri kutangaza nia mpaka umponde mtu? Tangazeni sera na siyo kumponda mtu.
  12. N

    Maswali magumu kwa Edward Ngoyai Lowassa

    Ki ukweli hakuna alie msafi hata bwana yesu alisema na alie msafi.......
  13. N

    Diamond: Tumeshapima DNA na kujua mtoto ni wa kike

    Mi sijaona chaajabu hapo Kiswahili chenyewe tunakosea ndiyo chakwetu itakuwa hicho kingereza? Acheni hizo.
  14. N

    Ngumu sana kupata mwanaume wako peke yako

    Hakuna alie msafi. Tena kila alie mwizi uzani kila mtu ni mwizi tu kama yeye.
  15. N

    Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

    Sisi huwa hatuweki kumbukumbu na kutunza historia zetu. Kwa sisi tukifanya mambo hayo utaambiwa mchawi. Huyu jamaa moja anaeitwa dyainamo anaefanya hayo anatembea kwenye maji na kupaa kwa yeye ni sawa kisa mzungu. Akiwa mwafrica ni kosa.
Back
Top Bottom