ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
nimeonaaa!!! haya makubwa tena
stori kama ya kisanii vile mmmhm!!! pana kazi
stori kama ya kisanii vile mmmhm!!! pana kazi
Umeona eeh...
Umeona eeh...
Ningevizia naenda chooni bila yeye kuwepo nikivua nguo chumbani. Huko naenda na kinyoleo kwa kuzuga
Wachawi mchana mkuu.
Siku hizi kuchepuka ni kitu cha kawaida sana. Na watu mmehalalisha iwe hivyo.
Tena sio ndogo..........kubwa hasa..........
aiseemi ningemletea noma zaidi ya hiyo
Ungemfanyaje kwa mfano...
Ungemfanyaje kwa mfano...
teh teh teh kaaazi kweli kweli.nisingempa papuch na ndo ingekua mwisho tungeishi kama kaka na dada humo ndani mpaka anioneshe mchepuko wake ni nani
na ningempasua huyo mchepuko mbele yake na kumuonya vikali
na baada ya hapo nampa probation
alaaa tusileteane ukimwi
nisingempa papuch na ndo ingekua mwisho tungeishi kama kaka na dada humo ndani mpaka anioneshe mchepuko wake ni nani
na ningempasua huyo mchepuko mbele yake na kumuonya vikali
na baada ya hapo nampa probation
alaaa tusileteane ukimwi
Du...mkwara tu huo...usipo mpa papuchi atapewa na aliye mnoa na kumshave...😉