Recent content by Ngurumo ya Upako

  1. N

    JamiiForums Tanzania Karibu ujifunze ufugaji wa samaki

    mafunzo Emu tumuulize yeye no mfugaji
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Nina mimba ya mpenzi wangu wa zamani na mume wangu anajua kuwa ni yake

    Unajua ni madhara kias gan atakayopata mumeo baada ya kumuacha,na watoto...wewe ni zaid ya pepoooo...mzinifu mkubwa ,wewe hufai kuitwa mke..unafaa kuitwa malaya mtiifu....pumbavuuu...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Wadada mnao sukana karibu na choo munakera badilikeni

    Shenzi zao ningewatimua wasinge amini na macho yao....
  4. N

    JamiiForums Tanzania Radio Maria Tanzania tengenezeni vitega uchumi

    Hii dini yetu hasa huko makanisan wameacha kutia mkazo kuhubiri injili badala yake wanasaka hela kwa michango ya kulazimishana. Ni ukwel usiopingika wezetu Waluteri wamekuwa ni mfano mzuri wa kuigwa..mahubiri mazuri yenye kumjenga mtu kiuchumi ,kiroho, na kimwil na ndio maana wanatoa kwa moyo...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Niliomba urais kujaribu, nikasukumiziwa huko

    Ngoja na wewe ufungiwe kama gazet la Raia mwema...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Mayai ya kienyeji yanapatikana

    Na Huitaj wa mitetea nitapata?
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kilichokuwa kinasubiriwa na dunia nzima sasa kimetimia..

    Duuu pole sana....
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kilichokuwa kinasubiriwa na dunia nzima sasa kimetimia..

    Nijambo la kushukuru Mungu, kwa tukio la kuhadhimisha skukuu ya Pasaka limemalizika salama !....Tuwaombee kwa wale waliopata matatizo ya hapa na pale bila kusahau wagonjwa wote...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

    Kuna mawazo mengine ni hatari zaidi ya sumu ya nuclear, nani aliekwambia kwenye swala la kuoa umri ni kigezo ambacho kitazuia maisha yasiendelee?Cha msingi tathmini mwanamke unaetaka kumuoa je? mwenendo na tabia zake, juhudi na maarifa, hofu ya Mungu na ana mapenzi ya kweli...ukijiridhisha oa...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Hii ni zaidi ya hatari.....

    Kama wezentu wameamua kufikia hatua hii hakuna budi tupige vita mchezoo huu mchafuu...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Chuo cha T.I.A ni jipu linalotakiwa kutumbuliwa na Rais

    Chuo hiki kimekuwa kikitumia hela za wanufaika wa mikopo kwa manufaa yao binafsi pale wanapoona inafaa ndipo huzitoa kwa wanafunzi husika. Mfano taarifa kutoka bodi ya mikopo zinaonesha chuo kimeingiziwa hela toka tarehe 16/2/2017, cha ajabu wanafunzi wamesahinishwa tarehe 22-23/3/2017, na...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Nayaona mabadiliko makubwa bunge lijalo..Kama Nape ataamua kutumia ushawishi wake ndani ya chama chake kupitia wabunge wa ccm naona muungano mkubwa baina ya ccm na wapinzani kuwa na sauti moja yenye kusudi flani...Hapa ndipo mwazo wa mabadiliko makubwa yatakapotokea..Naamin historia mpya...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

    Mkuu unatumia kampuni gani kuagizia mzigo ,na emu tupe garama za kuagiza hadi unapokufikia ni bei gan...mfano nimeona saa ya mkononi inauzwa dola kumi, garama za shipping cost ni dola kumi na nane na nusu kwa kila saa moja kupitia DHL.Mfano ukiagiza saa kumi garama za shiping zinakuwa dola...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Yahya Jammeh akataa kuachia uongozi Gambia

    kwa katiba yetu uo msemo sahauuu
  15. N

    JamiiForums Tanzania Yahya Jammeh akataa kuachia uongozi Gambia

    Mkuu kw hapa kwetu iyo kitu sahauuuu......kwanza sisi kwa sisi hatujielewi..
Back
Top Bottom