George_Mbuligwe
Member
- Sep 17, 2016
- 72
- 22
Usikubali kuachwa nyuma kuelekea uchumi wa kati wa viwanda, njoo upate ujuzi na maarifa.View attachment 650904
Gharama za mafunzo ni tsh 20000., ila kwa sasa ni kujiandikisha tu kupitia hiyo namba. Mafunzo yatafanyika kila mkoa kulingana na muitikio na yataanza January 2018, jambo la msingi ni kujiandikisha kwanzaIngekuwa vyema ungeweka na ghalama za mafunzo kabla ya mtu kijiandikisha aweze kujua.
mafunzo yanaishia nadharia au yanaenda hadi kwenye kumuelekeza namna ya kuanzisha bwawa boss?Gharama za mafunzo ni tsh 20000., ila kwa sasa ni kujiandikisha tu kupitia hiyo namba. Mafunzo yatafanyika kila mkoa kulingana na muitikio na yataanza January 2018, jambo la msingi ni kujiandikisha kwanza
Vyote hivi utavifahamu ukisha anza mafunzo...idadi ya samaki na gharama huwa inategemea na aina ya ufugaji na bwawa.Samahani lakini kwa swali la mbele sana,hivi bwawa dogo sana linaweza kuchukua samaki kiasi gani n gharama za jumla zipoje
Ama kweli!!!! Mkuu unatakiwa ujibu kwa ufasaha hili swali ili watu wajenge imani na hilo darasa lako na sio mambo ya eti utajua hukohukoVyote hivi utavifahamu ukisha anza mafunzo...idadi ya samaki na gharama huwa inategemea na aina ya ufugaji na bwawa.